KenGold: Morrison kuvaa uzi wa Simba ni uzalendo

Uongozi wa KenGold umesema kitendo cha nyota wa timu hiyo, Bernard Morrison kuonekana akiwa na jezi ya Simba ilihali ana mkataba na timu hiyo wanalichukulia kizalendo kwa kuwa Wekundu hao waliwakilisha nchi kimataifa. Morrison aliyewahi kucheza Yanga na Simba kwa misimu tofauti, alijiunga na KenGold dirisha dogo na hadi sasa bado ana mkataba hadi mwisho…

Read More

Bacca anavyoipiga tafu KMKM | Mwanaspoti

BEKI wa Yanga SC, Ibrahim Hamad ‘Bacca’ anatajwa kuwa mmoja wa wachezaji wanaokumbukwa zaidi na KMKM ya Zanzibar kutokana na aliyowahi kuyafanya ndani ya timu hiyo sambamba na yale anayoendelea kuyafanya. Bacca ambaye alijiunga na Yanga Januari 2022 akitokea KMKM, bado moyo wake upo klabuni hapo kwani ndiyo sehemu ambayo ilikuwa kama daraja kwake la…

Read More

Kiongozi mkuu wa Hamas Ismail Haniyeh ameuawa

TAARIFA iliyotolewa na Hamas imesema kuwa Haniyeh ameuawa katika shambulio lililofanywa na Wazayuni (Israel) mjini Tehran, Iran. Inaripiti Mitandao ya Kimaraifa. Katika taarifa yake Jumatano asubuhi, Hamas ilisema Haniyeh aliuawa katika uvamizi wa Israel alipokuwa ziarani Tehran kuhudhuria kuapishwa kwa Rais Masoud Pezeshkian.Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Iran pia limethibitisha kifo chake Wanajeshi wa…

Read More

Sarakasi za dabi zinavyotoboa mifuko ya watu

Katika historia ya michezo nchini Tanzania, hakuna tukio linalovuta hisia za watu kama pambano la watani wa jadi Yanga dhidi ya Simba. Hii ni zaidi ya mechi; ni tamasha la kijamii, kiuchumi, na kiutamaduni. Hivyo basi, mchezo wa Ligi Kuu ya NBC wenye namba 184 ambao umekuwa ukisubiriwa kwa hamu kubwa na mashabiki na wadau…

Read More

Kitita cha matibabu chawaibua madaktari bingwa wa magonjwa ya ndani

Dar es Salaam. Wakati Serikali ikiendelea kufanyia maboresho sekta ya afya ikiwamo kuimarisha matibabu kwa kuweka vitita kwa wagonjwa wanaotibiwa kwa bima, Chama cha Madaktari wa Magonjwa ya Ndani Tanzania (APHYTA) kimeshauri maboresho hayo yasiathiri ubora wa huduma. Ushauri huo umetolewa kutokana na maboresho yaliyofanyika hivi karibuni ya kitita cha matibabu kilicholalamikiwa na baadhi ya…

Read More

Ahadi ya Mabadiliko ya Dijiti – Masuala ya Ulimwenguni

Teknolojia ya dijiti imekuwa sehemu muhimu ya maisha na zana ya kujifunzia kwa watoto. Credit: Unsplash/Giu Vicente Maoni na Armida Salsiah Alisjahbana, Zhaslan Madiyev (bangkok, Thailand) Jumatatu, Septemba 02, 2024 Inter Press Service BANGKOK, Thailand, Sep 02 (IPS) – Mtazamo wa maendeleo umehamia 'digital by default' kama kawaida, kuunda upya jamii na uchumi. Kama kitovu…

Read More