RITA yaibua ubadhirifu wa bilioni 1 msikiti Mwanza

WAKALA wa Usajili, Ufilisi na Udhamini nchini (RITA), imebaini ubadhirifu mkubwa wa kiasi cha Sh bilioni moja katika Msikiti wa Ijumaa uliopo Jijini Mwanza na hatua za kisheria zimeshaaza kuchukuliwa. Anaripoti Mwandishi Wetu, Mwanza …(endelea). Akizungumza katika ziara yake mkoani Mwanza  mwishoni mwa wiki, Kabidhi Wasii Mkuu na Afisa Mtendaji Mkuu wa RITA, Frank Kanyusi…

Read More

Bil 20 za Mo zaibua utata Simba

MJUMBE wa Bodi ya Wakurugenzi ya Simba, CPA Issa Masoud amesema shilingi bilioni 20 zinazopaswa kuwekwa na mwekezaji wa klabu hiyo, Mohamed Dewji zimeibua matatizo baada ya mwekezaji huyo kudaiwa kuhitaji fedha alizotoa awali kama msaada zigeuzwe kuwa mtaji. Akizungumza na waandishi wa habari, Masoud amesema walipokea taarifa ambazo hazikuwa katika urasmi wake ikiwataka kama…

Read More

Kilichomuua Suleiman Mathew hiki hapa!

SAA chache baada ya kutolewa kwa taarifa kwamba nyota wa zamani wa Tukuyu Stars, Simba na Yanga, Suleiman Mathew amefariki dunia asubuhi hii, chanzo kilichomuua staa huyo aliyemudu beki ya kati kimeanikwa hadharani. Mathew alikumbwa na umauti akiwa amelazwa katika hospitali ya Amana (sio Temeke kama ilivyoelezwa mwanzoni) baada ya kuanza kuugua mara aliporudi kutoka…

Read More

Mkuchika akumbushia bao la Aziz KI CAF

MWENYEKITI wa Baraza la Wadhamini wa Klabu ya Yanga, George Mkuchika amesema kama timu hiyo isingenyimwa bao la nyota wa kikosi hicho, Stephane Aziz KI wakati wa mechi yao ya robo fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Mamelodi Sundowns wangefika mbali zaidi. Mkuchika amezungumza hayo leo wakati wa Mkutano Mkuu wa Klabu hiyo…

Read More

Msigwa: Weledi utatuweka pazuri | Mwanaspoti

KATIBU Mkuu wa Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo, Gerson Msigwa akimwakilisha waziri, Damas  Ndumbaro  katika mkutano mkuu wa mwaka wa Yanga 2024, amesisitiza juu ya weledi katika namna ya uendeshaji kwa  klabu za Ligi Kuu Bara. Msigwa amesema hayo kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere jijini Dar es Salaam  wakati akiwapongeza…

Read More

Unavyomlea ndivyo anavyokua, shtuka! | Mwananchi

Mtoto umleavyo ndivyo akuavyo, ni usemi wa wahenga wenye tafakari lukuki. Na ukiutafakari kwa kina, hasa pale unapofikiria malezi ya mtoto tangu alipozaliwa hadi kufikia hatua ya kujitegemea, ni wazi utabaini jambo jema ama baya kwa mwanao. Nasema hivyo kwa sababu, tukiangalia tabia nzuri au mbaya ya mzazi aliyonayo, mara nyingi hurithiwa pia na mtoto…

Read More

Beki wa zamani Simba, Yanga afariki dunia

HABARI zilizotufikia hivi punde ni kwamba beki wa zamani Tukuyu Stars, Simba na Yanga, Seleman Mathew amefariki dunia asubuhi ya leo katika Hospitali ya Amana, Ilala jijini Dar es Salaam. Beki huyo wa zamani alikuwa katika kikosi cha Tukuyu Stars ‘Wana Banyambala’ kilichotwaa ubingwa wa Ligi ya Tanzania Bara mwaka 1986 kabla ya kupita katika…

Read More

Dk Kijo Bisimba: Wazazi wa miaka hii wanachoka sana

Dar es Salaam. “Ni kweli harakati za kutafuta maisha zinachosha, lakini sikubaliani na namna wazazi wa miaka hii wanavyochoka kiasi kwamba wanakosa muda wa familia. Watoto wanaachwa chini ya uangalizi wa watu wengine ambao huenda hawana wajualo kuhusu malezi. “Unakuta wazazi wako Dar es Salaam wanachukua msichana wa kazi kutoka mkoani, hawamfahamu wala kujua malezi…

Read More