PPRA yapewa mbinu udhibiti malipo ya wazabuni

Dodoma. Wabunge wametaka Mfumo Mpya wa Ununuzi wa Umma (NeST), kufungwa moduli inayoonyesha hatua zote za manunuzi hadi malipo. Pia wameshauri taasisi zitakazoshindwa kuwalipa wakandarasi kufungiwa manunuzi. Wabunge wameelezwa mfumo huo umeokoa Sh7 bilioni kwenye manunuzi ya umma, ukitarajiwa kuokoa zaidi Sh40 bilioni hadi Mamlaka ya Manunuzi ya Umma (PPRA) itakapokabidhi ripoti kwa Rais Samia…

Read More

WIZARA YATEMBELEA CHUO CHA TEHAMA CHA MFANO NCHINI KOREA

Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Bw. Nicholas Merinyo Mkapa ametembelea maabara ya Chuo Kikuu cha Hanyang kilichopo katika mji wa Seoul, Korea Kusini Juni 7, 2024 Bw. Mkapa ametembelea chuo hicho ambacho ni cha mfano katika masuala ya TEHAMA nchini Korea Kusini ambapo pamoja na teknolojia nyingine pia…

Read More

Saini ya hakimu yasababisha kesi ya kulawiti kusikilizwa upya

Arusha. Mahakama Kuu Masjala Ndogo ya Dodoma, imetengua hukumu na adhabu ya Mahakama ya Wilaya ya Singida iliyomuhukumu kifungo cha maisha jela aliyekuwa askari wa Jeshi la Polisi, Sajenti David Sangana kutokana na mapungufu ya kisheria.  Uamuzi huo umefikiwa kutokana na hakimu aliyesikiliza shauri hilo awali, kutotia saini kumbukumbu za mwenendo wa kesi, hivyo imeamuru…

Read More

KAMPUNI YA UENDELEZAJI JOTOARIDHI TANZANIA YAANIKA MIPANGO YAKE,YATAJA MIRADI

KAMPUNI ya Uendelezaji Jotoaridhi Tanzania (TGDC) ambayo ni Kampuni tanzu ya Tanesco imesema inaendelea na mkakati wake wa kuchoronga visima vya nishati ya jotoaridhi kwa lengo la kuhakikisha inatumiwa katika vyanzo vingine kama umeme.  Akizungumza katika Kongamano lililowakutanisha wadau mbalimbali ambao wanatumia vyanzo vya nishati vinavyotokana na jua ,upepo na jotoaridhi,Meneja Mkuu wa wa Kampuni…

Read More

MTU WA MPIRA: Tatizo Simba sio Try Again, ni fedha tu!

NIMEONA mitandaoni taarifa za kujiuzulu kwa viongozi wa Simba upande wa mwekezaji, Mohamed Dewji. Zipo taarifa Wajumbe wote akiwemo Mwenyekiti wa Bodi, Salim Abdallah Muhene ‘Try Again’ naye amejiuzulu. Sifahamu sana kuhusu ukweli wa hili, lakini ukweli ni kuna mabadiliko makubwa yanakuja ndani ya klabu hiyo kongwe nchini. Ubaya ni Katiba ya Simba inatoa nafasi…

Read More

Sh87 bilioni zatumika miradi ya maji Mtwara

Mtwara. Zaidi ya Sh87 bilioni zimetumika mkoani Mtwara katika ujenzi wa miradi saba ya maji, ambayo baada ya kukamilika kwake itawanufaisha wananchi zaidi ya 600,000. Miradi hiyo inajumuisha mradi mkubwa wa Makonde wenye thamani ya Sh84 bilioni. Akizungumza mara baada ya mradi huo kuzinduliwa na Kiongozi wa Mbio za Mwenge kitaifa, Meneja wa Ruwasa Mkoa…

Read More

Kiungo Azam atajwa Yanga, mchongo mzima upo hivi

SIKU chache baada ya sintofahamu ya kukosa saini ya kiungo, Yusuph Kagoma, mabosi wa Yanga wapo kwenye mchakato wa kuibomoa Azam FC kwa kumnasa kiungo fundi, Adolf Mtasingwa aliyebakiza mkataba wa miezi sita kuitumikia timu hiyo. Mwanaspoti linafahamu, Yanga kwa usiri mkubwa imeanza mazungumzo na kiungo huyo aliyekuzwa timu ya Vijana ya Azam aliyeng’ara katika…

Read More

MAJALIWA: MIUNDOMBINU YA MICHEZO KUENDELEA KUBORESHWA

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akizungumza kwenye ufunguzi wa mashindano ya Umoja wa Michezo na Taaluma kwa shule za Msingi (UMITASHUMTA) na Sekondari (UMISSETA) katika uwanja wa Alli Hassan Mwinyi mkoani Tabora Juni 8.2024. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu) …………….. WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema Serikali inaendelea kutekeleza mpango wa kuboresha miundombinu ya michezo katika shule teule 56…

Read More