WANAFUNZI CHANGAMKIENI FURSA YA MIKOPO – MWANAHARAKATI MZALENDO

Mkurugenzi mtendaji wa bodi ya mikopo Dk Bill Kiwia amewataka wanafunzi kujitokeza zaidi kuomba mkopo kabla dirisha halijafungwa huku zikiwa zimebaki siku 30 ambapo ni sawa na mwezi. Ameyasema hayo alipokuwa akizungumza na wanahabari Dkt.Bill amesema wanafunzi wanatakiwa kuchangamkia fursa hiyo huku wakitakiwa kufuata miongozo iliyowekwa na bodi katika kuomba mkopo Kwa mujibu wa bodi…

Read More

Shambulio la Israel kwenye shule ya Gaza lalaaniwa kimataifa – DW – 10.08.2024

Francesca Albanese, mjumbe maalum wa Umoja wa Mataifa anayehusika na masuala ya haki za binadamu katika maeneo ya Palestina amesema Israel inawaua Wapalestina kitongoji kimoja baada ya kingine, kwenye hospitali, shule, kambi za wakimbizi na hata kwenye maeneo yanayotajwa kuwa “salama”. Katika mtandao wake wa X (zamani Twitter), Albanese amesema Israel imekuwa ikifanya mashambulizi hayo…

Read More

WANADIPLOMASIA KUTEMBELEA VIVUTIO VYA UTALII NCHINI.

Serikali ya Tanzania kupitia Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki imeandaa ziara maalum kwa Jumuiya ya wanadiplomasia nchini kutembelea vivutio vya utalii kwa madhumuni ya kutangaza sekta ya utalii nchini. Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Said Shaib Mussa aliwambia waandishi habari…

Read More

Mazingira magumu, makazi duni ya walimu yawaibua wawakilishi

Unguja. Pamoja na mabadiliko yanayoendelea katika sekta ya elimu Zanzibar, mazingira magumu wanayoishi walimu yametajwa kuwa kikwazo kwao, yakichangia kushindwa kupata utulivu wa kufundisha shuleni. Walimu wengi wamekuwa wakikabiliwa na changamoto za makazi, jambo linalowanyima nafasi ya kuishi maisha yenye hadhi na kutekeleza majukumu yao kwa utulivu. Wawakilishi wameeleza hayo hayo leo, Jumatatu Mei 26,…

Read More

‘Amani ya nchi imo mikononi mwa vyombo vya habari’

Dar es Salaam. Wadau wa habari wamesema ili nchi ya Tanzania iendelee kuwa na amani na utulivu, vyombo vya habari vina jukumu la kulinda hali hiyo kipindi hiki cha kuelekea Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 2025. Mwaka huu Tanzania, itafanya uchaguzi mkuu utakaowaweka madarakani Rais, wabunge na madiwani kwa kipindi cha miaka mitano ijayo. Hayo yamesemwa…

Read More

UMEME WA JOTOARDHI KUUNGANISHWA GRIDI YA TAIFA IFIKAPO 2030 – MRAMBA

-Mikoa 16 kunufaika na Nishati ya Jotoardhi-SEforALL yatakiwa kuwekeza katika utafiti na ubunifu Tanzania imelenga kuunganisha nishati ya jotoardhi kwenye gridi ya taifa ifikapo mwaka 2030 ili kuwa na umeme wa uhakika unaotokana na nishati jadidifu kuelekea Dira ya Tanzania 2025 ambayo inasisitiza maendeleo endelevu ya nishati kama nguzo ya mabadiliko ya kiuchumi. Hayo yamebainishwa…

Read More

Shirika la Umoja wa Mataifa la chakula lasitisha shughuli zake huko Gaza baada ya timu kushambuliwa – Global Issues

“Hili halikubaliki kabisa na ni la hivi punde zaidi katika mfululizo wa matukio ya usalama yasiyo ya lazima ambayo yamehatarisha maisha ya WFPtimu huko Gaza,” alisema Mkurugenzi Mtendaji wa shirika la Umoja wa Mataifa Cindy McCain, akitoa wito kwa mamlaka ya Israel na pande zote kwenye mzozo kuchukua hatua mara moja ili kuhakikisha usalama na…

Read More