Sugu aililia rasimu Katiba ya Warioba

Mbeya. Mwenyekiti wa Chadema Kanda ya Nyasa, Joseph Mbilinyi maarufu kwa jina la Sugu, ameshauri namna ya kuunasua mchakato wa Katiba, akitaka rasimu ya Katiba iliyoandaliwa na Tume ya Jaji Joseph Warioba irejeshwe ili ipigiwe kura na wananchi. Sugu amesema hatua hiyo itasaidia kuokoa mabilioni ya fedha yaliyotumika katika mchakato wa mabadiliko ya Katiba ambayo…

Read More

WATOTO MILIONI 4.8 WAKO KATIKA AJIRA HATARISHI NCHINI- TCACL

Na Mwandishi Wetu WAKATI Juni 12, 2024 dunia ikitarajia kuadhimisha siku ya utumikishwaji wa mtoto duninia, takwimu zinaonesha zaidi ya watoto milioni 5 wanatumikishwa nchini Tanzania, huku watoto milioni 4.8 wakiwa katika ajira hatarishi. Hayo yamesemwa na wadau mbalimbali wa kutetea watoto walioshiriki Kongamano la kujadili sera, sheria na miongozo ya kumlinda mtoto, wakiongozwa na…

Read More

Simba ilistahili ubingwa | Mwanaspoti

SIMBA Queens imebeba ubingwa huku msimu wa 2023/24 ukiwa haujamalizika baada ya kuifunga Alliance Girls mabao 3-0 kwenye Uwanja wa Nyamagana, jijini Mwanza, jana Ijumaa. Kwa ubingwa huo wa Ligi Kuu ya Wanawake, Simba imejikatia pia tiketi ya kushiriki michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika kwa Wanawake ikiwa ni mara ya pili kwao. Timu hiyo…

Read More

Urefu jina la wizara wamkera mbunge

Dodoma. Mbunge wa Masasi Mjini, Godfrey Mwambe amekosoa jina la Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalumu, huku akitadharisha kuachwa mtoto wa kiume katika mipango ya malezi na uwezeshaji.  Amesema hayo leo Juni 8, 2024 katika mafunzo ya  wabunge kuhusu uchambuzi wa bajeti kwa kuzingatia masuala ya kijinsia, yaliyoandaliwa na Bunge kwa…

Read More

Vaibu lamrudisha Aussems | Mwanaspoti

KOCHA wa zamani wa Simba, Mbelgiji Patrick Aussems amekiri kufurahia kurejea tena nchini, huku akiweka wazi vaibu la mashabiki hasa wanaojazana Uwanja wa Benjamin Mkapa ni moja ya sababu iliyomrejesha Tanzania na kujiunga na Singida Black Stars katika mashindano mbalimbali ya msimu ujao. Akizungumza na Mwanaspoti, Aussems alisema anajisikia furaha kubwa kurudi kwa mara nyingine…

Read More

Bakwata yatangaza Eid ya kuchinja Juni 17

Dar es Salaam. Baraza Kuu la Waislamu Tanzania (Bakwata), limesema Sikukuu ya Eid el Adh’haa itakuwa Jumatatu Juni 17  na swala yake itaswaliwa katika msikiti wa Mohamed VI uliopo makao makuu ya baraza hilo Kinondoni. Taarifa iliyotolewa leo Jumamosi Juni 8, 2024 na Katibu Mkuu wa Bakwata, Alhaji Nuhu Mruma swala ya Eid itaanza saa…

Read More

Celtics ilivyotibua rekodi ya Mavericks

FAINALI ya Ligi ya Mpira wa Kikapu Marekani (NBA) imeanza rasmi juzi Ijumaa kwenye Uwanja wa TD Garden, Boston, Ukanda wa Mashariki unaowakilishwa na Celtics na ilicheza dhidi ya Dallas Mavericks. Ikiwa na faida ya kucheza nyumbani Celtics ilianza kwa ushindi wa vikapu 107-89 ikiwa ni tofauti ya pointi 18 dhidi ya Dallas. Tofauti hiyo…

Read More