Sababu 10 zatajwa kuchangia afya ya akili kwa wanaume

Dar es Salaam. Wataalamu wa saikolojia tiba wamesema ongezeko la matukio ya kuua, kujiua na changamoto ya afya ya akili miongoni mwa wanaume, inachangiwa na ukimya miongoni mwa jinsia hiyo. Wameeleza umuhimu wa jamii kuwapa wanaume mazingira salama ya afya zao za akili, ikiwemo ‘kufunguka’ bila kuhukumiwa, ili kuwalinda na matokeo hasi ya msongo wa…

Read More

Picha la Benchikha lilivyokuwa | Mwanaspoti

Baada ya aliyekuwa Kocha Mkuu wa Simba, Abdelhak Benchikha kuondoka, hatimaye timu hiyo sasa imebaki chini ya Juma Mgunda na Selemani Matola, lakini kuna maswali mengi ya kujiuliza ambayo yanatia shaka juu ya muenendo wa kikosi hicho. Tetesi za kuondoka kwa Benchikha zilianza kuzagaa kwa muda mrefu, huku mara chache uongozi wa timu hiyo ukikanusha…

Read More

Stein, Dar City patachimbika BDL

ULE uhondo wa Ligi ya Kikapu Mkoa wa Dar es Salaam (BDL) unaendelea tena leo kwenye Uwanja Donbosco Upanga wakati Stein Warriors na Dar City zitakaposhuka uwanjani kuonyeshana kazi katika mfululizo wa ligi hiyo inayozidi kushika kasi. Mchezo huo unaosubiriwa kwa hamu na wapenzi wengi wa kikapu utachezwa saa 2:00 usiku, huku Stein Warriors inayoongoza…

Read More

Mbolea chanzo cha mgogoro USM Alger, RS Berkane

UNAWEZA kuona kwa jicho la kisiasa mgogoro uliopelekea mechi ya pili ya nusu fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika baina ya RS Berkane na USM Alger kutochezwa jana kama ilivyokuwa kwa mechi ya kwanza lakini nyuma yake kuna sababu za kiulinzi na pia kiuchumi. Sababu ya USM Alger kugomea mechi kwa vile RS Berkane walitaka…

Read More

Morocco: Stars ipo kamili gado

KAIMU Kocha Mkuu wa timu ya taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars’, Hemed Suleimani ‘Morocco’ amesema, kikosi hicho kiko kamili kwa ajili ya michezo miwili ya kimataifa kufuzu michuano ya Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON), itakayofanyika mwakani. Stars iliyopo kundi ‘H’ la kutafuta nafasi ya kufuzu michuano hiyo, itashuka kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa jijini…

Read More

Baada ya ahadi kubwa za maendeleo huko Seville, UN inasema hatua inaanza sasa – maswala ya ulimwengu

Hapo ndipo Jukwaa la Sevilla kwa Action (SPA) Inakuja – hatua kubwa ya kuanza kutekeleza makubaliano ya Seville bila kuchelewa. Ni makala Zaidi ya vitendo 130 vya saruji Ili kusaidia mfumo mpya wa fedha wa ulimwengu ambao viongozi wa ulimwengu walipitisha tu Mkutano wa Kimataifa. Watasaidia nchi kuhamasisha rasilimali kwa kushinikiza kwa uwekezaji wa SDG,…

Read More

Dabo apotezea ushindi, aelekeza nguvu fainali

KOCHA Mkuu wa Azam FC, Youssouph Dabo amesema licha ya timu hiyo kupata ushindi mnono wa mabao 5-2, dhidi ya Coastal Union ila amesahau matokeo hayo, na nguvu kwa sasa anazielekeza mechi ya fainali Jumapili. Kauli ya Dabo inajiri baada ya timu hiyo kutinga fainali ya Ngao ya Jamii na sasa inasubiri mshindi kati ya…

Read More