Shule Iringa zalia uhaba wa walimu wa Tehama

Iringa. Uhaba wa walimu wenye ujuzi wa kufundisha Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (Tehama),  umetajwa kuwa kikwazo cha wanafunzi wa shule za sekondari mkoani Iringa kujifunza teknolojia hiyo. Karibu shule nyingi za sekondari za Mkoa wa Iringa zimeanzisha madarasa ya Tehama kutokana na uwepo wa kompyuta. Hivi karibuni, shirika linalolenga kukuza ujuzi wa Tehama shuleni…

Read More

Kiungo Azam atajwa Yanga | Mwanaspoti

SIKU chache baada ya sintofahamu ya kukosa saini ya kiungo, Yusuph Kagoma, mabosi wa Yanga wapo kwenye mchakato wa kuibomoa Azam FC kwa kumnasa kiungo fundi, Adolf Mtasingwa aliyebakiza mkataba wa miezi sita kuitumikia timu hiyo. Mwanaspoti linafahamu, Yanga kwa usiri mkubwa imeanza mazungumzo na kiungo huyo aliyekuzwa timu ya Vijana ya Azam aliyeng’ara katika…

Read More

Wananchi wafunga barabara wakitaka ikarabatiwe

Morogoro. Wananchi wa Kata ya Lukobe Manispaa ya Morogoro jana Ijumaa Juni 7, 2024 wamefunga barabara ya Lukobe mwisho mpaka Mazimbu wakilalamikia ubovu wake unaosababisha wasifikiwe na usafiri. Mwananchi Digital imeshuhudia baadhi ya wakazi wa Lukobe wakiwa wamekusanyika na wakitoa kauli za kuitaka Wakala wa Barabara za Vijijni (Tarura) kuitengeneza kwa dharura barabara hiyo. Hassan…

Read More

Farid amaliza utata, apewa miwili Yanga

LICHA ya kukosa nafasi ya kucheza mara kwa mara chini ya Kocha Miguel Gamondi, kiraka wa Yanga, Faridi Mussa bado ataendelea kukipiga Jangwani hadi mwaka 2026. Farid anayemudu kucheza kama kiungo mshambauliaji, winga na beki wa kushoto, aliyejiunga na Yanga Agosti, 2020 akitokea Tenerife ya Hispania ataendelea kukipiga kwa mabingwa hao wa Tanzania baada ya…

Read More

Tanesco yatoa Sh400 milioni kudhibiti mafuriko Ifakara

Ifakara. Serikali kupitia Shirika la umeme nchini Tanesco imetoa Sh400 milioni kwa ajili ya kuondoa adha ya mafuriko yanayowakuta wananchi wa Ifakara kila mwaka. Fedha hizo zimetolewa kwa ajili ya  kuimarisha kingo za mto Lumemo na kujenga tuta kubwa lenye urefu wa kilomita nane ili kuuzuia mto huo kumwaga maji kwenye makazi ya wananchi. Tuta…

Read More

TETESI: Kapombe, Singida BS bado kidogo

UONGOZI wa Singida Black Stars (zamani Ihefu) inadaiwa umeanza mazungumzo ya kumpata beki wa kulia wa Simba, Shomari Kapombe kwa lengo la kuwaongezea nguvu kwa msimu ujao wa mashindano. Kapombe aliyeichezea Simba kwa misimu saba mfululizo tangu aliposajiliwa 2017-2018 akitokea Azam FC sambamba na nahodha John Bocco, Erasto Nyoni na kipa Aishi Manula, ni mmoja…

Read More

IGP WAMBURA AKAGUA MIRADI YA UJENZI RUFIJI

Matukio mbalimbali Pichani yakimuonesha Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini IGP Camillus Wambura, akikagua Mradi wa Ujenzi wa jengo la Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kipolisi Rufiji ambalo ujenzi wake bado unaendelea. Baada ya ukaguzi huo IGP Wambura pia alizungumza na maofisa, wakaguzi na askari wa vyeo mbalimbali ambapo aliwataka kuendelea kutekeleza majukumu yao ya…

Read More

Wakimbizi wa Burundi wapewa hadi Desemba 31 kurudi kwao

Kigoma. Serikali ya Tanzania imesema haitaongeza muda wa uhamasishaji  wakimbizi kutoka nchini Burundi waishio kambi ya Nyarugusu na Nduta zilizopo mkoani Kigoma, kurudi nchini kwao kwa hiari ifikapo Januari, mosi 2025. Hatua hiyo imekuja mara baada ya makubaliano ya pande tatu,  Serikali ya Tanzania, Burundi na Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Wakimbizi (UNHCR),…

Read More

Zungu awatwisha mzigo wabunge bajeti ya kijinsia

Dodoma. Naibu Spika wa Bunge, Mussa Zungu amewataka wabunge kutizama Kanuni za Kudumu za Bunge kama zinakidhi ipasavyo utekelezaji wa dhana bajeti inayozingatia masuala ya kijinsia na iwapo zina kasoro,  ziboreshwe ili ziwawezeshe kuishauri Serikali kwa manufaa ya Taifa. Zungu ameyasema hayo leo Juni 8, 2024 wakati akifungua mafunzo ya wabunge kuhusu uchambuzi wa bajeti…

Read More