Straika mpya Simba ashtua, Freddy Koublan atajwa!

TAARIFA za Simba kusajili straika mpya kipindi hiki muda mchache kabla ya dirisha kufungwa kesho Alhamisi, zimeshtua wengi, lakini mshtuko zaidi umekuja kwa mchezaji mwenyewe ambaye anatajwa kumalizana na timu hiyo. Leonel Ateba raia wa Cameroon kutoka USM Alger, ndiye anayetajwa kumalizana na Simba akipewa mkataba wa miaka miwili. Straika huyo ana kibarua kigumu cha…

Read More

Mbunge ashauri nauli SGR ipunguzwe

Dodoma. Mbunge wa Kerwa (CCM), Innocent Bilakwate ameshauri Serikali kushusha bei ya usafiri wa treni ya kisasa ya (SGR) kwa mabehewa ya watu mashuhuri (VIP) ili kuepuka kupata hasara inayotokana baadhi ya viti kwenda bila watu. Bilakwate ameyasema hayo leo Jumatatu Aprili 14, 2025 wakati akichangia makadirio ya mapato na matumizi ya ofisi ya Waziri…

Read More

DC Morogoro Mussa Kilakala awataka wafugaji kuacha kutumikisha watoto

Mkuu wa wilaya ya Morogoro Mussa Kilakala amelaani vikali baadhi ya Tabia zinazofanywa na wafugaji ya kuwaachia watoto kwenda kuchunga mifugo hali ambayo husababisha migogoro ya wakulima na wafugaji Akizungumza katika ziara yake katika kijiji Cha Mvuha DC Kilakala amesema kuwa wazazi wanapowaachia watoto kwenda kuchunga husababisha kuvamia Mashamba ya wakulima kwani wao wanafanya bila…

Read More

KIWANDA CHA KUSAFISHA NA KUONGEZA THAMANI MADINI ADIMU KUJENGWA KIJIJINI NGWALA,SONGWE

▪️Uendelezaji wa Mradi kuanza rasmi Disemba 2025 ▪️Ni mradi wa Madini Adimu utakaogharimu Bilioni 771 ▪️Waziri Mavunde azindua zoezi la ulipwaji fidia wananchi 192 ▪️Wananchi wamshukuru Rais Samia kwa mazingira ya uwekezaji ▪️Serikali kuvuna mapato ya zaidi ya Trilioni 12 Ngwala,Songwe KAMPUNI  ya Mamba Minerals Ltd inayowekeza kwenye mradi wa Madini adimu imeweka wazi mpango…

Read More

WAZIRI SIMBACHAWENE,VIONGOZI TASAF WAENDELEA NA ZIARA YA KIMAFUNZO NCHINI AFRIKA KUSINI KUHUSU UTEKELEZAJI MIRADI

Na Mwandishi Wetu WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi na Utawala Bora George Simbachawene ameongoza ujumbe wa viongozi waandamizi wa Mfuko wa Maendeleo ya Jamii (TASAF), akiwemo Mkurugenzi Mtendaji wa mfuko huo Shadrack Mziray katika ziara ya kimafunzo nchini Afrika ya Kusini. Lengo la ziara hiyo ni kujifunza kuhusu namna bora ya…

Read More

UWANJA WA NDEGE WA IRINGA UANZE KAZI AGOSTI MOSI – MAJALIWA

    WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa ametoa siku 23 kwa Wizara za Ujenzi, Uchukuzi, taasisi zinazosimamia sekta ya anga na uongozi wa mkoa wa Iringa kutatua vikwazo vilivyopo ili uwanja wa ndege wa Iringa uanze kutumika ifikapo Agosti mosi, mwaka huu.    Ametoa agizo hilo leo (Julai 8, 2024) wakati akizungumza na viongozi na wananchi mbalimbali waliokuwepo…

Read More