
WAZAZI WASHAURIWA KUWAFUNDISHA WATOTO UMUHIMU WA KUWEKA AKIBA
Afisa Mkuu Mwandamizi Idara ya Uendeshaji wa Sekta ya Fedha kutoka Wizara ya Fedha, Bw. Salim Kimaro akitoa elimu ya fedha kuhusu Akiba na Bajeti kwa baadhi ya wanafunzi wa Shule ya Msingi Kipeta, Mkoa wa Rukwa Wilaya ya Sumbawanga Vijijini Afisa Mkuu Mwandamizi Idara ya Uendeshaji wa Sekta ya Fedha kutoka Wizara ya Fedha,…