Tanzania Yaharakisha Malengo ya Nishati Safi ya Kupikia ya 2034 kwa Kuzindua Kampeni ya Kitaifa ya Matumizi ya Nishati ya Kupikia ya Umeme

Wizara ya Nishati, kwa ushirikiano na Modern Energy Cooking Services (MECS) na UK International Development, wamezindua rasmi Kampeni ya Kwanza ya Kitaifa ya Uhamasishaji wa Nishati ya Umem ya Kupikia (eCooking) nchini Tanzania. Mpango huu wa kihistoria ni sehemu muhimu ya Mpango wa MECS wa kukuza na kusaidia nishati ya umeme unaofadhiliwa na UKAid, ambao…

Read More

Mkenya Pamba Jiji awashtukia wachezaji

KOCHA Mkuu wa Pamba Jiji, Francis Baraza amewashtukia wachezaji wa timu hiyo akisema namba yao imekuwa ndogo katika wiki ya kwanza ya maandalizi ya msimu ujao wa mashindano, huku akiweka wazi hiyo inatokana na wengi wao kukimbia mazoezi magumu. Pamba Jiji imeingia wiki ya pili ya maandalizi tangu imeanza kujifua, huku Baraza akiliambia Mwanaspoti, hajaridhishwa…

Read More

Kutoka kwa Ulinzi wa Injini hadi Kuwainua Watu, Safari ya Makusudi ya Vivo Energy Kupitia Kampeni ya “Uliza Oili ya Shell”

VIVO Energy Tanzania, kampuni inayosambaza na kuuza mafuta na vilainishi vya chapa ya Shell, inajivunia kutangaza uzinduzi wa kampeni yake iitwayo “Uliza Oili ya Shell.” Hii ni harakati thabiti na ya kina inayolenga kuwaelimisha na kuwawezesha madereva wa Tanzania kufanya maamuzi sahihi kuhusu vilainishi wanavyotumia—ikichochea ulinzi wa injini na pia maendeleo ya kijamii. Kampeni hii…

Read More