SERIKALI YAWEZESHA HUDUMA ZA POSTA KIDIJITALI KUPITIA VIFAA VYA TEHAMA KUTOKA UCSAF

Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhe. Jerry Silaa, amesema Serikali ya Awamu ya Sita imejipanga kuhakikisha huduma za msingi ikiwemo Posta, Mawasiliano, intaneti na huduma za kifedha za kidijitali zinawafikia wananchi wote bila kujali jiografia.  Waziri Silaa aliyasema hayo jijini Dar es Salaam, Agosti 22, 2025, katika hafla ya makabidhiano ya vifaa vya…

Read More

Wanandoa wauawa kikatili, miili yachomwa moto

Mbeya. Wanandoa wanaodaiwa kuwa raia wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) wameuawa katika Kijiji cha Chafuma, wilayani Momba. Kwa mujibu wa taarifa kwa umma iliyotolewa na Jeshi la Polisi Agosti 23, 2025 tukio la mauaji lilitokea Kata ya Kapele iliyo Tarafa ya Ndalambo, juzi Agosti 22, saa nane mchana. Taarifa hiyo iliyotolewa na Kamanda…

Read More

Wasiojulikana wajeruhi, watoweka na Sh20 milioni

Same. Watu wasiojulikana wamemvamia na kumjeruhi kwa mapanga Yusto Mapande, mwenyekiti mstaafu wa Halmashauri ya Wilaya ya Same, mkoani Kilimanjaro. Mapande alijeruhiwa alipokuwa akiingia nyumbani kwake akitokea kwenye biashara zake, pia ameporwa zaidi ya Sh20 milioni zilizokuwa kwenye gari lake. Mkuu wa Wilaya ya Same, Kasilda Mgeni amethibitisha tukio hilo akisema limetokea jana Agosti 22,…

Read More

Hekaya za malevi: Akili mnemba kizibo cha akili – 2

Dar es Salaam. Siwezi kubishana na umati unaodai kuwa akili mnemba ni maendeleo. Hoja yangu ni lugha inayotumika  tukisema “Maendeleo ni kutoka mahala na kwenda mahala pengine”, haimaanishi kwenda kinyumenyume ni maendeleo. Hivyo nakusudia kusema kuwa matumizi ya akili mnemba bado hayajaeleweka sawasawa miongoni mwa watumiaji wake. Wanaiweka mbele wakidhani kuwa ina silika za ufundishaji….

Read More

VIDEO: Kutoka kukata tamaa hadi matumaini tiba ya moyo

Dar es Salaam. Miaka 15 iliyopita, kupata ugonjwa wa moyo nchini Tanzania kulikuwa ni kama hukumu iliyoambatana na gharama kubwa kifedha, safari ndefu kwenda nje ya nchi au kukata tamaa ya matibabu na kupona. Kabla ya mwaka 2008, upasuaji mkubwa wa moyo haukufanyika nchini, hivyo iliwalazimu wagonjwa kusafiri hadi India na mataifa mengine kupata tiba;…

Read More

Rais Sri Lanka atupwa sero kwa matumizi mabaya ya fedha

Idara ya Upelelezi wa Jinai (CID) nchini Sri Lanka imemkata aliyekuwa Rais wa zamani wa Taifa hilo, Ranil Wickremesinghe kwa madai ya matumizi mabaya ya fedha za Serikali. Wickremesinghe (76) amekamatwa baada ya kufika katika ofisi ya CID katika mji mkuu Colombo kutoa maelezo ya taarifa ya uchunguzi wa ziara yake ya London pamoja kuhudhuria…

Read More