Waliokuwa watumishi Kigamboni wapandishwa kizimbani

Dar es Salaam. Aliyekuwa Mkuu wa Idara ya Fedha na Mhasibu wa Manispaa ya Kigamboni, Jonathan Manguli (38) na wenzake 12, wakiwamo wafanyabiashara wamefikishwa mahakamani wakikabiliwa na mashtaka 10, yakiwamo ya kuchepusha fedha na kuisababishia Wizara ya Tamisemi hasara ya Sh165 milioni. Washtakiwa wengine waliokuwa watumishi wa manispaa hiyo ni mhasibu Godfrey Martiny (44), mkuu…

Read More

Cheza Leo, Pata Zawadi Kesho Na Win&Go Lucky Loser

MARA nyingi wabashiri wa michezo ya kasino hukutana na changamoto ya kupoteza licha ya kuchagua mchezo kwa umakini mkubwa. Lakini kupitia ubunifu wa Win&Go Lucky Loser, Meridianbet inaleta matumaini mapya kwa soko la wachezaji kwa kugeuza hasara ya leo kuwa ushindi wa kesho. Huu ni mfumo maalum unaobadilisha tiketi zisizofanikiwa kuwa fursa ya kujishindia hadi…

Read More

Kengele ya hatari afya duni kwa bodaboda

Dar es Salaam. Bonny Sagati ni kijana mwendesha bodaboda anayefanya shughuli zake maeneo ya Tegeta mkoani Dar es Salaam. Aghalabu siku yake inaanza mapema mno, kabla hata jogoo hajawika. Akiwa bado na usingizi mzito, anapiga mswaki kwa haraka, anakunjua suruali yake iliyochakaa na kuivaa pamoja na jaketi ambalo halijui lini liliona maji! Saa chache baadaye,…

Read More

Wananchi Shinyanga walia ajali za barabarani

Shinyanga. Wananchi wa Kata ya Itwangi, Halimashauri ya Wilaya ya Shinyanga, mkoani Shinyanga, wameiomba Serikali kuweka matuta katika barabara kuu ya eneo hilo kufuatia wimbi la ajali zinazodaiwa kusababisha vifo vya watu, wakiwemo wanafunzi. Wananchi hao wamesema ajali zimekuwa zikijirudia mara kwa mara kutokana na madereva kuendesha kwa mwendo kasi na kutokuheshimu alama pamoja na…

Read More

Semina ya TAKUKURU ifanyiwe kazi na marefa, wadau

KUNA pongezi nyingi ambazo kijiwe kimeamua kutoa kwa TFF na Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) kwa kuandaa semina elekezi kwa marefa wa Ligi Kuu Tanzania Bara msimu ujao ya namna ya kupambana na vitendo vya rushwa. Ni jambo zuri ndiyo maana tunalipongeza kwa vile marefa ni watu muhimu sana katika kuendeleza au…

Read More

Mahakama Kuu Yafungua Kikao cha Mwaka, Jaji Kiongozi Asisitiza Uwajibikaji

Jaji Kiongozi wa Mahakama Kuu ya Tanzania, Dkt. Mustepher Mohamed Siyani. Jaji Kiongozi wa Mahakama Kuu ya Tanzania, Dkt. Mustepher Mohamed Siyani, amewasisitiza Majaji, Mahakimu na Wakurugenzi wa Mahakama ya Tanzania kuhakikisha wanatekeleza mikakati inayowekwa na vikao mbalimbali pamoja na kuwasilisha utekelezaji wake kwa wakati. Dkt. Siyani ametoa rai hiyo leo tarehe 25 Februari, 2026…

Read More

Folz aringia ubora wa mastaa Yanga, aficha jambo hili

KOCHA wa Yanga, Romain Folz, amesema kikosi chake kipo tayari kwa mchezo wa kesho dhidi ya Simba huku akiringia ubora wa mastaa wa timu hiyo. Folz amesema, timu hiyo imefanya maandalizi ya kutosha kuelekea mchezo huo, huku akikiri kwamba wanakwenda kukutana na timu nzuri yenye wachezaji bora. Kocha huyo ambaye anayekwenda kucheza dabi ya kwanza…

Read More