Othman ahamasisha mageuzi matumizi ya rasilimali

Pemba. Mwenyekiti wa Chama cha ACT-Wazalendo, Othman Masoud Othman amesema wananchi hawapaswi kukata tamaa badala yake washirikiane kupigania mageuzi yatakayosaidia kuzitumia rasilimali zilipo nchini na kuleta neema ya kiuchumi. Othman ameyasema hayo Juni 7, 2024 katika Baraza ya Mtemani Wete, iliyopo Wilaya ya Wete Mkoa wa Kaskazini Pemba, alipozungumza na wafanyabiashara wadogowadogo, wanabaraza na wananchi….

Read More

RIPOTI MAALUM: Janga, Kwa nini kamari zinaongezeka licha ya athari mbaya? – 2

KATIKA mfululizo wa ripoti maalumu hii juu ya uraibu wa michezo ya kamari nchini, tuliona namna watoto wenye umri chini ya miaka 18 wanavyojiingiza, licha ya kuwepo kwa sheria kali zinazowazuia kujihusisha nayo. Tuliona namna watoto hususan wanafunzi wanavyotumia fedha wanazopewa na wazazi ili kutumia shuleni wakiziteketeza kwenye mashine za kamari maarufu kama Dubwi kwa…

Read More

TFNC waja na mradi wa lishe kwa vijana

Dar es Salaam. Taasisi ya Chakula na Lishe Tanzania (TFNC), imeanzisha mradi wa kutengeneza vyakula kwa ajili ya kuwasaidia watoto wa shule na kundi rika la vijana balehe nchini kuanzia miaka tisa hadi 19 kukabiliana na upungufu wa damu na madini chuma. Utafiti wa Afya na uzazi na Mtoto na Viashiria vya Malaria wa 2022…

Read More

Asilimia 77.7 Kilombero wanapata huduma ya maji safi na salama

IMEELEZWA kuwa lengo la serikali kuwafikishia maji safi na salama asilimia 85 ya wananchi waishio vijijiji na asilimia 95 ya wananchi waishio mjini ifikapo mwaka 2025, linakaribia kutimia wilayani Kilombero mkoani Morogoro baada ya asilimia 77 ya wananchi wa wilaya hiyo kufikishiwa huduma hiyo.  Anaripoti Victor Makinda, Morogoro … (endelea). Hayo yamebainishwa na Meneja wa…

Read More

Wanabukombe wasisitizwa kuwa na subira kuhusu pori la Kigosi

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati ambaye pia ni Mbunge wa Jimbo la Bukombe lililopo mkoani Geita, Mhe. Dkt. Doto Biteko amewaasa wananchi wa Jimbo hilo kuwa na subira kuhusu kutumia Pori la Kigosi kufanya shughuli mbalimbali wakati ambao Serikali inaendelea kuandaa utaratibu maalum. Ameyasema hayo Juni 6, 2024 katika mkutano wa hadhara uliofanyika…

Read More