Wachekelea wingi vituo uboreshaji Daftari la Kudumu la Mpiga Kura

Tanga. Baadhi ya wananchi wa Mkoa wa Tanga waliojitokeza kuboresha taarifa zao kwenye Daftari la Kudumu la Mpiga Kura wamepongeza zoezi hilo, hasa kutokana na uwepo wa vituo vingi vya kujiandikisha, hali ambayo imewasaidia kutumia muda mchache kukamilisha mchakato huo. Wakizungumza kwa nyakati tofauti na Mwananchi katika vituo mbalimbali vilivyoanza uandikishaji leo Alhamisi, Februari 13,…

Read More

Serikali kuukarabati uwanja wa Jamhuri, Morogoro

Waziri wa Sanaa Utamaduni na Michezo, Dk Damas Ndumbaro amesema kuelekea mashindano ya Afcon 2027, ambayo yanatarajiwa kufanyika kwa ushirikiano wa nchi tatu za Tanzania, Kenya na Uganda serikali itaufanyia ukarabati Uwanja wa Jamhuri ili uweze kutumika.kwa mazoezi kuelekea mashindano hayo. Akizungumza na Mwanaspoti Waziri Ndumbaro amesema serikali imeamua kuja na mbinu mbadala ya kuwa…

Read More

TFF yaufungulia uwanja wa CCM Kirumba

SHIRIKISHO la Soka nchini (TFF) limeufungulia Uwanja wa CCM Kirumba jijini Mwanza baada ya kufanyiwa marekebisho. Kupitia taarifa iliyotolewa na Ofisa Habari wa TFF, Clifford Ndimbo imeeleza kuwa uwanja huo ulifungiwa kutokana na miundo mbinu hiyo kutofaa. “Shirikisho la Mpira wa Miguu (TFF) limeufungulia Uwanja wa CCM Kirumba, Mwanza kutumika kwa michezo ya Ligi baada…

Read More

Tanzania, Mali kriketi bato la historia

TANZANA  inaikaribisha Mali katika mchezo wa kihistoria wa ufunguzi wa michuano ya kufuzu fainali za Kombe la Dunia za kriketi ya mizunguko 20 keshokutwa, Dar es Salaam. Ni mchezo unaoikaribisha Mali, nchi iliyotawalia na Wafaransa katika mchezo unaochezwa zaidi na nchi za Jumuiya ya Madola ambazo huzungumza Kiingereza. Mali inajiunga na Msumbiji nchi inayoongea Kireno ambayo …

Read More

KenGold mguu sawa Ligi Kuu

MKURUGENZI Mtendaji wa KenGold, Kenneth Mwakyusa Mwambungu amesema kwa sasa wanaendelea na zoezi la kuboresha timu hiyo kwa ajili ya msimu ujao wa Ligi Kuu Bara, huku akiweka wazi watazingatia matakwa yote kutoka kwa benchi la ufundi. Akizungumza na Mwanaspoti, Mwambungu alisema licha ya ukimya uliopo ila wanaendelea na mikakati ya kuisuka timu hiyo huku…

Read More

Kwenye hili dunia inawaonea sana wasanii

Dar es Salaam. Nimewahi kukutana na washkaji ambao walifanya makosa makubwa sana kwenye maisha yao, makosa ambayo yaliwagharimu kila kitu walichokuwa nacho, walipoteza kazi, pesa, familia, upendo, heshima na kila kitu. Lakini baada ya muda, walipambana na kurudi kwenye nafasi zao za zamani na kurudisha kila kitu walichopoteza. Familia zao zilirudi, kazi zilirudi, pesa zilirudi…

Read More