
Matawi Simba waitana fasta kujadili waliojiuzulu
SAA chache tangu uongozi wa Simba kutangaza mabadiliko makubwa, huku baadhi ya Wajumbe wa Bodi ya Wakurugenzi ya Msimbazio wakiachia ngazi, viongozi wa matawi wa klabu hiyo wameitana fasta ili kukutana kwa lengo la kujadili kilichotokea. Simba ambayo ina misimu mitatu mfululizo ikicheza Ligi Kuu Bara na michuano ya Kombe la Shirikisho bila kubeba ubingwa,…