Matawi Simba waitana fasta kujadili waliojiuzulu

SAA chache tangu uongozi wa Simba kutangaza mabadiliko makubwa, huku baadhi ya Wajumbe wa Bodi ya Wakurugenzi ya Msimbazio wakiachia ngazi, viongozi wa matawi wa klabu hiyo wameitana fasta ili kukutana kwa lengo la kujadili kilichotokea. Simba ambayo ina misimu mitatu mfululizo ikicheza Ligi Kuu Bara na michuano ya Kombe la Shirikisho bila kubeba ubingwa,…

Read More

Metacha atua rasmi  Singida Black Stars

DILI limetiki. Ndivyo unavyoweza kusema baada ya mabosi wa Singida Black Stars (zamani Ihefu) Uongozi wa Ihefu, umemalizana na kipa Metacha Mnata aliyekuwa Yanga na muda wowote kuanzia sasa inatarajia kumtambulisha rasmi. Kipa huyo wa zamani wa  Azam, Mbao na Singida Big Stars, alikuwa sehemu ya kikosi cha Yanga kilichotetea ubingwa wa Ligi Kuu Bara…

Read More

Mwalimu ajinyonga akidaiwa kuliwa Sh1 milioni kwenye Aviator

Nyamira. Mwalimu wa sekondari ya Wavulana ya Nyamira nchini Kenya, amekutwa amefariki kwa kujinyonga nyumbani kwake. Mwalimu huyo aliyetambulika kwa jina la Kevin Omwenga mwili wake ulipatikana ndani kwake jana Alhamisi Juni 7, 2024, huku ikidaiwa kuwa alipoteza Ksh50,000 (Sh1 milioni) kwenye kamari maarufu kama aviator au kindege. Msaidizi wa chifu wa eneo hilo, Johnson…

Read More

Tanzania majanga, yaikosa Riadha Afrika

HUWEZI kuamini, lakini ndo ukweli ulivyo, kwa mara ya kwanza Tanzania haitashiriki mashindano ya Riadha Afrika (African Athletics Championship) tangu yalipoanzishwa mwaka 1979 baada ya wanariadha waliotarajiwa kubeba bendera kukosa vigezo vya ushiriki. Mashindano hayo ya 23 kwa mbio za viwanjani yafanyika kati ya Juni 21- 26, jijini Douala huko Cameroon, ikitazamiwa kushirikisha wanariadha zaidi…

Read More

Mbili zapanda Ligi Kuu Zenji, Zimamoto yaua

WAKATI maafande wa KVZ na Zimamoto wakifanya mauaji katika mechi za Ligi Kuu Zanzibar (ZPL) iliyopo ukingoni, timu za Muembe Makumbi na Inter Zanzibar zimekuwa za kwanza kupanda ligi hiyo kwa msimu ujao wa 2024-2025. Muembe Makumbi ilikata tiketi ya kucheza Ligi Kuu kwa msimu ujao baada ya juzi kuifumua New King kwa mabao 2-0…

Read More

DKT. BITEKO AWATAKA WAZAZI KUPELEKA WATOTO SHULE

-Asisitiza nia yake kuchochea maendeleo Bukombe-Ataka ufuatiliaji wa wasioenda shule ufanyike hadi ngazi ya kaya-Daraja la mpakani kati ya Burenga na Mbogo kuanza kujengwa Na ofisi ya Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati ambaye pia ni Mbunge wa Jimbo la Bukombe mkoani Geita, Mhe. Dkt. Doto Biteko…

Read More

Mbappe hakanyagi nyasi za Santiago Bernabeu kifua mbele

INATAJWA Dennis Bergkamp alipokuwa usajili wa kwanza wa Kocha Bruce Rioch kila kitu kilibadilika Arsenal. Superstaa alikuwa amefika klabuni. Umri ulikuwa sahihi. Jina lilikuwa kubwa. Ulikuwa mwanzo mpya wa Arsenal mpya. Wachezaji wengi wakubwa wakatamani kucheza Arsenal. Kucheza kando ya fundi Dennis. Alitokea Inter Milan. Kabla ya Inter Milan alikuwa Ajax. Mchezaji mkubwa aliamsha ari…

Read More