KONA YA WASTAAFU: Nyongeza ya Pensheni ya wastaafu inapooteshwa mbawa!

Oktoba 2024, iliyopita, siri-kali ilijikanyaga katika kile ilichookita ni kumsaidia mstaafu wake wa Kima cha Chizi kuweza kukabiliana na hali ngumu ya maisha iliyokuwa ikimkabili. Ilimtangazia mstaafu huyo nyongeza ya pensheni ya Sh50,000 ambayo ukiongeza na ile laki moja kwa mwezi aliyokuwa akipata kwa miaka 21 nyuma, angekuwa sasa akipata Sh150,000. Siri-kali haikulazimishwa na yoyote….

Read More

5G yamliza Sultan, asaka beki fasta

BAADA ya kupata aibu ya kipigo cha mabao 5-0 kutoka kwa Simba Queens, kocha mpya wa Alliance Girls, Sultan Juma ameitupia lawama safu ya ulinzi ya timu hiyo na fasta kuamua kutafuta beki wa kati kwenye dirisha dogo ili kuokoa jahazi katika mechi zijazo za Ligi Kuu ya Wanawake (WPL). Kabla ya mchezo huo, kocha…

Read More

TRC kuongeza safari treni ya SGR Dar -Morogoro

Dar es Salaam. Shirika la Reli Tanzania limetangaza ongezeko la safari za treni ya kisasa (SGR) zitakazohusisha kuanza kwa treni mpya ya mwendo kasi (Express train) kutoka Dar es Salaam hadi Morogoro bila kusimama vituo vya kati. Ratiba iliyotolewa inaonyesha kutakuwa safari nane kwa siku na treni hizo zitakuwa zinapishana kwa takribani dakika 20 kati…

Read More

Mkuu wa UNRWA atoa wito wa kufanyika uchunguzi kuhusu mashambulizi dhidi ya wahudumu wa kibinadamu huko Gaza – Masuala ya Ulimwenguni

Kamishna Jenerali Philippe Lazzarini alikata rufaa hiyo taarifa iliyochapishwa kwenye mtandao wa kijamii wa X, zamani Twitter. Alibainisha kuwa miezi 15 baada ya vita kuanza huko Gaza, “matishio yanaendelea chini ya uangalizi wa ulimwengu”. Wafanyakazi 258 wa UNRWA waliuawa Akitoa taarifa za hivi punde kutoka kwa timu zake, Bw. Lazzarini alisema kuwa 258 UNRWA wafanyakazi…

Read More

WAZEE WATAKIWA KUWAKEMEA VIJANA KUCHAGUA VIONGOZI BORA.

NA WILLIUM PAUL, SAME. WAZEE wilayani Same wametakiwa kukemea vijana wao kwenye uchaguzi wa Serikali za mitaa kujiepusha na vitendo vya kupokea au kutoa rushwa kushinikiza wagombea ili wawachague na badala yake washiriki kikamirifu kuchagua viongozi bora na waadilifu watakao simamia vyema fedha za miradi ya maendeleo zinazoletwa na Rais Dkt. Samia kwa wananchi wake….

Read More