TETESI ZA USAJILI BONGO: Azam yatua Yanga, Kipa azam …

KIPA wa Yanga, Aboutwalib Mshery amemaliza mkataba wake ndani ya kikosi hicho huku akisubiria viongozi kujua hatima yake msimu ujao, huku klabu ya Azam ikitajwa kumfukuzia. Duru za kimichezo zinasema wawakilishi wa mchezaji huyo, tayari wameanza mazungumzo na klabu kadhaa huku ikielezwa Azam ni kati ya zinazomhitaji kwa kilichoelezwa mipango ya kumrejesha Aishi Manula huenda…

Read More