Waitara alia na walimu wa lugha

Dodoma. Mbunge wa Tarime Vijijini (CCM), Mwita Waitara amesema kuna changamoto ya walimu waliobobea kwenye ufundishaji wa mtalaa mpya kwa sababu wengi waliopo wanauelewa mdogo. Waitara alikuwa akichangia mkadirio ya mapato na matumizi ya Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia kwa mwaka 2025/26 bungeni jijini Dodoma leo Jumatatu Mei 12, 2025. Makadirio hayo yamewasilishwa na…

Read More

Yajue manufaa, fursa za kituo cha biashara Ubungo

Dar es Salaam. Wakati Kituo cha Biashara na Usafirishaji cha Ubungo (EACLC) kikitarajiwa kuzinduliwa Agosti 2 mwaka huu, Serikali imeeleza faida za kiuchumi zitakazopatikana. Miongoni mwa faida hizo ni kodi zitakazokusanywa kila mwaka, kukuza uuzaji wa bidhaa za ndani katoka masoko ya nje, kujenga uhusiano wa kibiashara na nchi jirani na kukuza biashara kati ya…

Read More

Polisi Morogoro wafanya ukaguzi magari ya shule

Jeshi la Polisi mkoa Morogoro limewataka wamiliki wa Magari yanayobeba wanafunzi (School Bus) katika kipindi hiki cha likizo kuhakikisha magari hayo kuwa ni mazima kwaajili ya matumizi ya wanafunzi mara tuu shule zitakapo funguliwa. Hayo yamesemwa na Kaimu Mkuu wa Kikosi cha Usalama Barabarani Mrakibu Msaidizi wa Jeshi la Polisi (ASP) Pascal Mwakabungu akiwa na…

Read More

Vikundi vya ulinzi shirikishi zingatieni maadili ya Kazi

Vikundi vya Ulinzi Shirikishi Kata ya Ngara Mjini Wilaya Ngara Mkoa wa Kagera vimetakiwa kuzingatia Sheria kipindi cha utekelezaji wa majukumu yao huku akiwataka kuwa mfano mzuri Kwa jamii. Hayo yamebainishwa na Mkaguzi Kata ya Ngara Mjini Mkaguzi Msaidizi wa Polisi A/INSP Olipa Chitongo wakati akitoa elimu Kwa vikundi hivyo ambapo amewataka kufuata sheria za…

Read More

Sare ya Mashujaa yamtibua Kopunovic  

KOCHA wa Pamba Jiji, Goran Kopunovic, amegeuka mbogo kufuatia nyota wa timu hiyo kushindwa kulinda mabao mawili iliyoyapata kipindi cha kwanza katika mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Mashujaa uliopigwa kwenye Uwanja wa CCM Kirumba, jijini Mwanza. Goran alisema kuwa hajui kilichotokea katika kipindi cha pili, ambako waliongoza kwa mabao 2-0 hadi kufikia dakika…

Read More

Fei Toto ataja kilichowabeba Mapinduzi Cup

NAHODHA wa kikosi cha Zanzibar Heroes, Feisal Salum ‘Fei Toto’ amefichua kujituma kwao mwanzo hadi mwisho ndiyo siri kubwa ya kuwa mabingwa wa Kombe la Mapinduzi 2025. Zanzibar Heroes ilibeba ubingwa wa michuano hiyo baada ya jana Jumatatu kuichapa Burkina Faso mabao 2-1 katika mchezo wa fainali uliofanyika Uwanja wa Gombani Kisiwani Pemba. Katika mchezo…

Read More