CAMAC WAKUTANA NA WADAU MBALIMBALI KUJADILI SHERIA NA HAKI ZINAZOGUSA AFYA YA UZAZI

WADAU mbalimbali wakiwemo viongozi wa dini, baadhi ya wabunge na Umoja wa Mashirika yasiyo ya Serikali (CAMAC) wamekutana na kujadili sheria na haki zinazogusa Afya ya Uzazi. Katika mkutano huo iliongelewa kuwa kuna umuhimu wa kuwasaidia wasichana na wanawake waliopata mimba kutokana na ukatili kama kubakwa,maharimu na shambulio la ngono.Wahanga hawa kusaidiwa ili kuepusha utoaji…

Read More

DC KASILDA AKERWA NA RUWASA SAME KUTOSHIRIKISHA JAMII KATIKA MIRADI YAKE.

NA WILLIUM PAUL, SAME. MKUU wa Wilaya ya Same mkoani Kilimanjaro Kasilda Mgeni ameeleza kusikitishwa na kitendo cha Wakala wa maji safi na usafi wa Mazingira vijijini (RUWASA) wilayani humo kushindwa kushirikisha jamii husika kwenye maeneo mbalimbali ambako kunatekelezwa miradi ya maji hali inayopelekea kutokea malalamiko kutokana na kutoelewa nini kinaendelea. Kasilda ameeleza hayo baada…

Read More

RAIS WA ZANZIBAR AFUNGUA SKULI YA SEKONDARI YA KWANZA TUMBATU IKIWA NI SHAMRASHAMRA ZA MIAKA 61 YA MAPINDUZI

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akiwa katika tabasamu wakati akibadilishana mawazo na Mwakilishi wa Jimbo la Tumbatu Zanzibar Mhe. Haji Omar Kheri, wakati akielekea katika eneo la ufunguzi wa Skuli ya Sekondari Tumbatu, ufunguzi wa Skuli hiyo uliofanyika leo 4-1-2025, ikiwa ni Shamrashamra za Maadhimisho ya Miaka 61…

Read More