Walioiba chaja ya baiskeli, wahukumiwa kifungo cha nje

Dar es Salaam. Mahakama ya Mwanzo Kariakoo, imemuhukumu Naufali Ramadhani (22) na Abubakari Chiputa, kifungo cha nje cha miezi sita kila mmoja, baada ya kupatikana na hatia ya wizi wa chaja ya baiskeli na extension cable. Pia, Mahakama hiyo imeamuru chaja hiyo pamoja na extension cable arudishiwe mlalamikaji, ambaye ni Idriss Mustafa. Uamuzi huo umetolewa…

Read More

Taoussi mzuka umepanda Azam FC

KOCHA Mkuu wa Azam FC, Rachid Taoussi amesema kikosi hicho kwa sasa kipo tayari kwa ajili ya kuendeleza ushindani msimu huu, wakati itakapocheza na Kagera Sugar Jumamosi hii kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara utakaopigwa Uwanja wa Azam Complex, Dar. Akizungumza na Mwanaspoti, Taoussi alisema licha ya kukaa wiki mbili bila ya mchezo wowote wa…

Read More

Rais Samia ateua, amwapisha bosi mpya Usalama wa Taifa

Dar es Salaam. Rais Samia Suluhu Hassan amemteua Suleiman Mombo kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Idara ya Usalama wa Taifa (TISS). Mombo anachukua nafasi ya Balozi Ali Idi Siwa ambaye amestaafu. Uteuzi huo umetangazwa na Kaimu Katibu Mkuu Kiongozi, Mululi Majula Mahendeka kupitia taarifa iliyosainiwa na Sharifa Nyanga, Kaimu Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais, Ikulu leo Alhamisi…

Read More

Ujenzi wa minara 758 wafikia asilimia 90

Dar es Salaam. Mradi wa ujenzi wa minara 758 ulioanza mwaka 2023 umefikia asilimia 90.3 huku ukitajwa kuwa chachu ya ongezeko la watu wanaotumia huduma za mawasiliano Tanzania. Hadi Mei 23 mwaka huu, minara 682 ilikuwa tayari imekamilika huku mingine ikiwa katika hatua mbalimbali za kumaliziwa ujenzi. Hayo yamesemwa na Mtendaji Mkuu Mfuko Wa Mawasiliano…

Read More

TAMASHA KUBWA LA BIA TANZANIA, #SERENGETIOKTOBAFEST 2024, LIMERUDI TENA.

Mabibi na mabwana, Wapenda bia, Wapenda vibe, na wapenzi wa tamaduni za Kitanzania, Tamasha kubwa la Serengeti Oktoberfest lililokuwa likisubiriwa kwa hamu sana limerejea, na mwaka huu, UKUBWA NA UBORA wa #SerengetiOktobaFest2024 haukuwahi kutokea Kabla!. Mwezi huu wa Oktoba, #SerengetiOktobaFest itakuwa sherehe kubwa itakayoangazia uhalisia wa Mtanzania na kuamsha uhai wa utamaduni wa Kitanzania kupitia…

Read More

Sakata la Mashaka, Geita na Simba liko hivi

Wakati Geita Gold ikiijia juu Simba kumtambulisha mchezaji Valentino Mashaka ikidai hawakufuata utaratibu kwa madai bado ni mali yao, nyota huyo ameiruka timu hiyo akieleza mkataba wake ulikuwa umeisha. Simba imemtambulisha Mashaka leo Julai 5 akiwa ni mchezaji wa tano kusaini kandarasi kwa wachezaji wapya, jambo ambalo limeonekana kuwashtua Geita Gold wakidai kuwa bado nyota…

Read More

Hakuna Mafuta, hakuna chakula – DW – 11.07.2024

Akiwa na umri wa miaka 75, Galiche Buwa ameishi na kushuhudia vita vya wenyewe kwa wenyewe, njaa na majanga ya asili, lakini mjane huyo wa Sudan Kusini, mama wa watoto wanne, mara zote alifanikiwa kupata riziki na maisha yalisonga, kutokana na biashara yake ya kuuza vyakula na mboga mboga. Lakini sasa, hata biashara hiyo iko…

Read More