RC CHALAMILA USO KWA USO NA WANAFUNZI WA DUCE

-Amshukuru Rais Dkt Samia Suluhu Hassan kwa uwekezaji mkubwa katika nyanja za elimu hapa nchini-Awataka wanafunzi kutokata tamaa, wanayo nafasi kubwa ya kubadili maisha yao. MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam Mhe Albert Chalamila leo Juni 6,2024 amefanya ziara katika chuo Kikuu kishiriki cha Elimu Dar es Salaam (DUCE) ikiwa ni muendelezo wa ziara…

Read More

Mo afanya mabadiliko makubwa Simba, Barbara ndani

KUNA kitu kinaendelea ndani ya Simba usiku huu. Huenda kufikia kesho yakatokea mabadiliko makubwa kwenye uongozi wa juu. Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya Klabu ya Simba, Salim Abdallah ‘Try Again’ na mjumbe wa Bodi ya Wakurugenzi, Rashid Shangazi wamegomea uamuzi wa Rais wa heshima wa klabu hiyo akiwataka waandike barua ya kujiuzulu. Rais wa heshima…

Read More

Wawakilishi wanawake wakomaa na udhalilishaji

Unguja. Wawakilishi wanawake wameng’aka kwenye Baraza la Wawakilishi wakielezea kadhia wanazopitia wanawake na watoto kutokana na  ukatili, udhalilishaji. Wawakilishi hao walikuwa wakichangia mjadala  wa ukatili na udhalilishaji wa watoto na wanawake ambapo kati ya 10 waliochangia mjadala huo kwa kuzungumzia, tisa walikuwa wanawake.  Hayo yalijitokeza wawakilishi walipojadili hotuba ya mapato na matumizi ya bajeti ya…

Read More

WANUFAIKA 08 MRADI WA FEEL FREE WASAINI MIKATABA YAO

WASANII 08 vya Wanufaika na Mradi wa mfuko wa fedha wa kuwawezesha Wasanii (FEEL FREE GRANTEES) kwa mwaka 2024 Wasaini rasmi Mikataba ya kupata fedha za miradi yao. Akizungumza na Wanahabari Ofisi za Taasisi ya Nafasi arts space Mikocheni Jijini Dar es Salaam Mkurugenzi wa Idara ya Ukuzaji na Maendeleo ya Sanaa (BASATA) Edward Buganga…

Read More

Wajumbe wote wa MO wajiuzulu, Barbara aula Simba

WAJUMBE wa Bodi ya Wakurugenzi wa Simba wameridhia uamuzi wa Rais wa heshima wa klabu hiyo, Mohammed Dewj ‘MO’ akiwataka waachie ngazi. Kwa mujibu wa chanzo cha kuaminika kutoka ndani ya Simba kimeliambia Mwanaspoti viongozi wote wa bodi ya Simba wametii wito wa kiongozi wao ambaye ndiye aliyewateua. “Hadi sasa wajumbe wote  wamejiuzulu kama mambo…

Read More

Wadau wataka uchumi wa buluu ulinde wavuvi wadogo

Dar es Salaam. Licha ya Serikali kuweka mkakati wa kuwaendeleza wavuvi nchini, wadau wametaka juhudi hizo zilenge kuwalinda wadogo na jamii zinazozunguka maeneo ya uvuvi. Akifungua mkutano wa Afrika wa wavuvi wadogo uliokusanya washiriki zaidi ya 400 kutoka nchi 32 za Afrika Juni 5, 2024 Naibu Waziri Mkuu, Dk Doto Biteko alisema asilimia 95 ya…

Read More

Ouma aachiwa msala wa CAF

MABOSI wa Coastal Union wameamua kumuachia msala wote wa michuano ya kimataifa msimu ujao, kocha mkuu David Ouma aliyeiwezesha timu hiyo kumaliza katika nafasi ya nne ya Ligi Kuu Bara na kufika nusu fainali ya Kombe la Shirikisho, huku ikimshukuru na kumpongeza kwa kazi nzuri aliyoifanya. Wagosi wa Kaya hao wanarejea katika michuano ya kimataifa…

Read More