Polisi waweka doria ofisi za Chadema, Muliro atoa sababu

Dar es Salaam. Siku moja baada ya Jeshi la Polisi kuzima maandamano ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) yaliyopangwa kufanyika jijini hapa Septemba 23, 2024, baadhi ya askari wameonekana wakizingira ofisi ya makao makuu ya chama hicho Mikocheni. Mwandishi wa Mwananchi aliyefika katika ofisi hiyo leo Septemba 24, 2024 ameshuhudia askari hao waliokuwa wamebeba…

Read More

BILIONI 14.5 KUSAMBAZA UMEME KATIKA VITONGOJI 135 RUVUMA

-KAYA 4,455 KUNUFAIKA Na Mohamed Saif, Ruvuma Serikali kupitia Wakala wa Nishati Vijijini (REA) inatekeleleza mradi wa shilingi bilioni 14.56 wa kusambaza umeme katika vitongoji 135 Mkoani Ruvuma utakaonufaisha Kaya 4,455 mkoani humo. Mhandisi Msimamizi wa Miradi ya Umeme REA Kanda ya Kusini, Mhandisi Deogratius Nagu amebainisha hayo Septemba 30, 2024 Mkoani Ruvuma mbele ya…

Read More

Kinachoathiri utimamu wa afya ya akili ya mtoto

Mwanaisha (52) ni mama wa watoto wanne. Mwanawe wa kwanza, Bashir (28) anapitia wakati mgumu kwenye uhusiano na mchumba wake. Jitihada za kurekebisha changamoto hizo hazijafanikiwa kuleta ufumbuzi. Kabla hajakutana na mchumba wake wa sasa, Bashir amekuwa na uhusiano na wanawake kadhaa ambao kama inavyoelekea kwenye uhusiano huu wa sasa, uliishia kuvunjika.  Hanifa (26), mtoto…

Read More