Chan 2024 kazi ipo huku sasa

MECHI mbili za robo fainali za michuano ya CHAN 2024 zimepigwa jana Ijumaa na leo zinapigwa nyingine za mwisho ili kujua timu zitakazoumana katika nusu fainali, lakini kuna kazi inaendelea kwenye michuano hiyo wakati wachezaji wa timu shiriki wakipambana kuwania tuzo za msimu huu. Kabla ya mechi za jana tayari mabao 74 kutoka kwa wachezaji…

Read More

Kwa hili… Taifa Stars hatuwadai

ACHANA na matokeo ya pambano la usiku wa jana Ijumaa la robo fainali ya michuano ya CHAN 2024 wakati Tanzania ilipokabiliana na Morocco kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa, jijini Dar es Salaam, kilichofanywa na Taifa Stars katika fainali hizo ni wazi ‘haidaiwi kitu’. Tanzania iliyoshiriki fainali hizo za nane ikiwa ni mara ya tatu, safari…

Read More

Sudan, Algeria vita nzito, Uganda kuikabili Senegal

UHONDO wa michuano ya CHAN 2024 unaendelea leo kwa mechi mbili, moja ikipigwa visiwani Zanzibar wakati Sudan itakuwa mawindoni dhidi ya Algeria, huku jijini Kampala wenyeji Uganda watakuwa na kibarua kizito mbele ya watetezi, Senegal. Sudan iliyomaliza kama kinara wa Kundi D imesalia Zanzibar na kuanzia saa 2:00 usiku itakuwa na kazi ya kukabiliana na…

Read More

Kiungo Kagera ajitabiria Coastal | Mwanaspoti

KIUNGO mkabaji mpya wa Coastal Union, Geofrey Manyasi amesema anaamini msimu huu utakuwa mzuri kwa wana Mangushi na hayatomkuta yaliyomtokea msimu uliopita akiwa na Kagera Sugar. Manyasi amejiunga na Coastal katika dirisha kubwa la usajili msimu huu lililofunguliwa Agosti 15, 2025, akitokea Kagera Sugar iliyoshuka daraja kutoka Ligi Kuu msimu uliopita. Nyota huyo wa zamani…

Read More