Serikali Yaongeza Kasi Ufuatiliaji wa Magonjwa ya Njia ya Hewa
Serikali kupitia Wizara ya Afya imeziagiza Hospitali za Rufaa za Mikoa, Taifa, Wilaya pamoja na Vituo vya Afya kote nchini kuongeza kasi ya ufuatiliaji wa magonjwa ya mfumo wa njia ya hewa na magonjwa mengine ya mlipuko, kama sehemu ya kuimarisha ulinzi wa afya ya umma. Akizungumza Februari 25, 2026 mkoani Morogoro, Grace Magembe amesema…