Adam anausoma mchezo Azam | Mwanaspoti

MSHAMBULIAJI wa Azam FC, Adam Adam amesema kutokupata nafasi ya kucheza sio kwamba ameshuka kiwango na anaendelea kupambana kupambana kuhakikisha muda wote anakuwa fiti, ikitokea nafasi awe msaada kwa timu. Adam alisema kipindi anapata nafasi ya kuanza, washindani wake wa namba walikuwa wanakaa benchi, pia kila kocha anakuwa na chaguo lake, lakini jambo la msingi…

Read More

WAZIRI MKUU AKUTANA NA BALOZI WA DENMARK NCHINI

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Balozi wa Denmark nchini, Mhe. Jespper Kammersgaard, kwenye Ofisi Ndogo ya Waziri Mkuu, Magogoni jijini Dar es salaam,  November 4, 2024. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu) Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akimkabidhi zawadi ya picha,  Balozi wa Denmark nchini,   Mhe. Jespper Kammersgaard  baada ya mazungumzo  kwenye Ofisi Ndogo ya Waziri Mkuu, Magogoni jijini Dar…

Read More

Ndinga hili tishio jipya mbio za magari

MAFANIKIO yaliyoletwa na Kampuni ya magari ya Toyota kutokana na ubora wa gari lao aina ya Toyota R5, yamewapa mzuka madereva wa mbio hizo kutaka kuendelea nayo katika mashindano yajayo. Gari hilo lililoendesha na dereva Yassin Nasser na msoma ramani wake Ally Katumba kutoka Uganda lilisababisha kumaliza wakiwa washindi na kutwaa ubingwa wa Taifa kitengo…

Read More

PETER MASHILI KUVAANA NA BASHE JIMBO LA NZEGA MJINI

Mkurugenzi Mtendaji wa kampuni ya MASHILI COMPANY LIMITED ambaye pia ni Mkurugenzi Mtendaji wa Mradi wa Uchenjuaji Dhahabu wa (Matinje Mining, Msilale Mining na Igurubi Mining) Ndg Peter Andrea Mashili ametangaza nia ya Kugombea Ubunge wa Jimbo la Nzega Mjini akiahidi kumg’oa Mbunge aliyepo Mhe Hussein Bashe ambaye ni Waziri wa Kilimo kwa madai kwamba…

Read More

Rekodi idadi ya wanawake wanaoishi katika umbali wa kushangaza wa mizozo ya kijeshi – maswala ya ulimwengu

Wanawake wanasimama katika makazi yaliyoharibiwa ya kuhamishwa huko Khan Younis, Gaza. Mikopo: Kliniki ya UNFPA/Media Maoni na Taasisi ya Utafiti wa Amani Oslo (Oslo, Norway) Alhamisi, Septemba 25, 2025 Huduma ya waandishi wa habari OSLO, Norway, Septemba 25 (IPS) – uwanja wa vita sio mbali tena; Kwa mamilioni ya wanawake, ni mlango unaofuata. Takriban wanawake…

Read More

Tanzania mwenyeji mkutano wa Fiata Rame 2025, mageuzi ya kidijitali kuangaziwa

Unguja. Wakati mkutano wa kimataifa wa Shirikisho la Vyama vya Mawakala wa Ushuru na Forodha Afrika Mashariki na Kati (Fiata Rame) ukitarajiwa kufanyika Zanzibar, uimarishaji ujuzi katika usafirishaji ni miongoni mwa mambo yanayotarajiwa kujadili kwa kina. Malengo mengine yatakayofikiwa ni kuchunguza mageuzi ya kidijitali, teknolojia mpya na suluhisho za ubunifu katika sekta ya vifaa ili…

Read More

MABILIONI YA CSR KUTOKA BARRICK BULYANHULU KUTEKELEZA MIRADI YA ELIMU, AFYA NA UWEKEZAJI HALMASHAURI YA MSALALA 2025

  Mwenyekiti wa Halmashauri ya wilaya ya Msalala, Mibako Mabubu (Kushoto) akibadilishana mkataba wa makubaliano na Kaimu Meneja Mkuu wa Mgodi wa Barrick Bulyanhulu,Charles Mhando ,wengine pichani ni wafanyakazi wa halmashauri hiyo na Mgodi wa Bulyanhulu. Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya wilaya Msalala Leonard Mashaka Mabula (Kushoto) akibadilishana mkataba wa makubaliano na Kaimu Meneja…

Read More

Njaa na HeatWave inagonga Ukanda wa Gaza – Maswala ya Ulimwenguni

Hivi majuzi, Israeli imekataa harakati chache za kibinadamu lakini mikutano iliyoidhinishwa “bado inachukua masaa kukamilisha na timu zimelazimishwa kungojea kwenye barabara ambazo mara nyingi ni hatari, zilizokusanywa au zisizoweza kufikiwa,” Ofisi ya Uratibu wa Msaada wa UN Ocha alisema katika hivi karibuni Sasisha. Kati ya 6 na 12 Agosti, watu wa kibinadamu walifanya majaribio 81…

Read More