Aucho ampa mzuka Gego Singida Black Stars

KIUNGO wa Singida Black Stars, Khalid Habib ‘Gego’ amesema ndoto imetimia baada ya uongozi kuinasa saini ya Khalid Aucho, mchezaji ambaye amekuwa akimfuatilia na kujifunza vitu kutoka kwake sasa atacheza naye timu moja. Mwanaspoti liliwahi kufanya mahojiano na kiungo huyo ambaye alidai kumkubali Aucho kipindi anacheza Yanga , ila sasa ni rasmi watacheza pamoja msimu…

Read More

FYATU MFYATUZI: Fyatu kukutana na fyatu Tarampu

Leo, nabanja na Fyatu mwenzangu Donnie Tarampu usawa huu anapokongoliwa na waajemi. Nimeomba tukutane nimshaiwishi aje kwenye bara letu kuwasomba maimla wote wanaowafyatua mafyatu wao. Japo, yeye anahangaishwa na wese, sisi pia tunalo wese ambalo ni ukwasi waliofyatua na kuficha nje. Awafyatue na kuwajengea gereza maalumu au kuwasweka Guantanamo ili watoi wetu wajao waende kuona…

Read More

Walimu hawana miujiza kumbadili mwanao

Dar es Salaam. Katika jamii nyingi za leo, imezuka dhana potofu kwamba kazi ya kulea watoto ni ya walimu. Wazazi wengi wamejikuta wakitelekeza jukumu lao la msingi, wakikabidhi watoto wao kwa walimu kana kwamba shule ndiyo nyumba ya pili ya mtoto kwa kila jambo. Mtoto anaposhindwa kimaadili au kielimu, lawama huelekezwa kwa walimu kwa haraka mno,…

Read More

Mjadala wa Mzize tuachane nao sasa

KUANZIA sasa na kuendelea, hapa kijiweni tumekubaliana kutoendelea na mjadala kumhusu mshambuliaji wa Yanga, Clement Mzize na suala lake la kucheza soka la kulipwa nje ya nchi. Uamuzi wa Mzize kuongeza mkataba wa kuendelea kuitumikia timu hiyo tunadhani ameamua kutupa majibu tufanye yanayotuhusu na suala la yeye wapi acheze linabakia katika uamuzi wake. Tunapaswa kufahamu…

Read More

Eneo korofi la ‘Kwa Kichwa’ Zingiziwa lakumbukwa

Dar es Salaam. Eneo korofi maarufu ‘Kwa Kichwa’ lililopo Kata ya Zingiziwa, Mtaa wa Ngobedi, Wilaya ya Ilala, limeanza kutengenezwa baada ya muda mrefu kuwa kero kwa wakazi, hasa msimu wa mvua. Kwa muda mrefu eneo hilo limekuwa likijaa maji na kuathiri shughuli za kiuchumi na kijamii, huku wakazi wakishindwa kuvuka na kulazimika kulipa kati…

Read More

Buzungu mbioni kurejea Mtibwa Sugar

KIUNGO wa Kagera Sugar, Omary Buzungu ameuomba uongozi wa timu hiyo umruhusu arejee Mtibwa Sugar baada ya kikosi cha ‘Wanankurukumbi’ kushuka daraja ikiwa ni miezi sita  tangu nyota huyo alipojiunga nacho wakati wa dirisha dogo la Januari, mwaka huu. Nyota huyo alijiunga na Kagera Sugar katika dirisha dogo la Januari 2025 akiwa ni pendekezo la…

Read More