AU watambua jitihada za Rais Samia na Ulega kuwainua wavuvi

UMOJA wa Afrika (AU) na Shirika la Kilimo na Chakula (FAO) wamemtambua Rais Samia Suluhu Hassan na Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Abdallah Ulega, kama vinara wa kuwapambania wavuvi wadogo Afrika, ikiwa ni mwendelezo wa Mkutano wa Kimataifa wa wavuvi wadogo uliofanyika kwa siku mbili, Mlimani City, jijini Dar es Salaam. Anaripoti Mwandishi Wetu …(endelea)….

Read More

Vijana wafunga ofisi ya Katibu  UVCCM Mufindi

Mufindi. Umoja wa vijana wa CCM (UVCCM) Wilaya ya Mufindi, mkoani Iringa wamefunga ofisi ya umoja huo wakilalamika kutoridhishwa na utendaji kazi wa Katibu wao,  Aizaki Mbuya. Vijana hao wamefanya shughuli hiyo wakiongozwa na Mwenyekiti wao, Christian Mahenge. Hata hivyo, Mahenge ametakiwa kufika kwenye kikao cha Kamati ya Maadili ya CCM Wilaya ya Mufindi, kueleza…

Read More

TANDIKA JAMVI LAKO NA MERIDIANBET LEO

LEO hii kuna mechi kibao za kuwania kufuzu Kombe la Dunia 2026 Afrika zinaendelea ambapo mabingwa wa ODDS KUBWA Tanzania, Meridianbet wamekuwekea machaguo uyapendayo. Ingia na ubashiri sasa. Tukianza na mechi hii ya Congo Republic ambaye yupo nafasi ya 5 kwenye kundi atakuwa mwenyeji wa Niger ambaye yupo nafasi ya 3 mchezo utakaopigwa majira ya…

Read More

Muarobaini migongano ya binadamu wanyamapori watajwa

IMEELEZWA kuwa iwapo serikali itawekeza kwenye mpango wa matumizi bora ya ardhi, migongano baina ya binadamu na wanyamapori chini itapungua kama sio kuisha kabisa. Anaripoti Mwandishi Wetu …(endelea). Hayo yameelezwa leo Alhamisi na Mtafiti Mkuu wa Taasisi ya Utafiti wa Wanyamapori Tanzania (TAWIRI), Dk Stephen Nindi wakati wa mdahalo ulioandaliwa na Chama cha Waandishi wa Habari…

Read More

Wafuasi wa ANC wapinga muungano na DA – DW – 06.06.2024

ANC ilishindwa kupata wawakilishi wengi bungeni ambapo sasa iinalazimika kuunda serikali ya muunganoPicha: Kyodo/picture alliance Ni baada ya chama hicho tawala cha Afrika Kusini kufungua milango ya mazungumzo kwa chama chochote kilichopata viti bungeni kwenye uchaguzi uliopita na kinachonuwia kuunda serikali ya muungano itakayodumu kwa miaka mitano ijayo. Maandamano haya yamefuatia kushindwa kwa chama cha…

Read More

Mmoja afariki, mwingine ajeruhiwa na simba Ngorongoro

Arusha. Mtu mmoja Mkazi wa Kijiji cha Malambo, wilayani Ngorongoro mkoani hapa, Sironga Mepukori, amefariki dunia kutokana na majeraha makubwa aliyoyapata alipokuwa akijaribu kupambana na simba aliyevamia shule. Akizungumza na Mwananchi Digital kwa njia ya simu leo Alhamisi Juni 6, 2024, Mkuu wa Wilaya ya Ngorongoro, Kanali Wilson Sakulo amethibitisha kutokea kwa tukio hilo. Amesema…

Read More

BARRICK YAADHIMISHA SIKU YA MAZINGIRA DUNIANI 2024 KWA VITENDO

Meneja wa Mazingira Mgodi wa Barrick Bulyanhulu (Aliyevaa kofia Nyeupe )  akishiriki zoezi la kupanda miti katika Shule ya Sekondari ya Buyange kata ya Bugarama Halmashauri ya Msalala katika kuadhimisha Siku ya Mazingira Duniani juzi ambapo wafanyakazi wa Barrick walishiriki zoezi ka kupanda miti na kufanya usafi katika maeneo mbalimbali. Wafanyakazi wa Barrick Bulyanhuli wakishiriki…

Read More

Gamondi, Yanga mambo bado magumu

MAMBO bado baina ya kocha Miguel Gamondi na mabosi wa Yanga baada ya kushindikana kukutana juzi Jumatano ili kujadiliana juu ya mkataba mpya na sasa kocha huyo anaendelea kula zake bata visiwani Zanzibar wakati anasikilizia simu za kuitwa jijini Dar es Salaam. Gamondi amemaliza mkataba aliokuwa nao na Yanga baada ya kuiwezesha kutetea ubingwa wa…

Read More