WANANCHI WA KATA YA LITUMBANDYOSI MBINGA WAISHUKURU SERIKALI KUWAJENGEA KITUO CHA AFYA

 Baadhi ya majengo ya kutolea huduma za afya katika kituo cha afya Litumbandyosi kata ya Litumbandyosi Halmashauri ya wilaya Mbinga mkoani Ruvuma ambayo ujenzi wake umegharimu zaidi ya Sh.milioni 500 kutoka mapato ya ndani ya Halmashauri hiyo. Afisa Muuguzi wa kituo cha afya Litumbandyosi Halmashauri ya wilaya Mbinga mkoani Ruvuma Songela Songela kulia,akimuonyesha Mganga Mkuu…

Read More

Azam yampotezea Diao, akitajwa APR Rwanda

MSHAMBULIAJI wa Azam FC, Alassane Diao anaweza kutua APR FC ya Rwanda mara baada ya msimu huu kumalizika, kufuatia taarifa za kuaminika kueleza kuwa mabosi wa klabu hawapo tayari kumuongezea mkataba mpya straika huyo aliyekuwa na wakati mgumu tangu arejee kutoka majeruhi. Diao, alijiunga na Azam msimu uliopita Julai 4, 2023, kwa kishindo na kuonyesha…

Read More

Straika Fountain Gate katikati ya Maabad, Mgaza

MMOJA wa wachezaji  wanaofanya vizuri Ligi Kuu Bara msimu huu ila hazungumzwi sana ni mshambuliaji wa Fountain Gate FC, Seleman Mwalimu ‘Gomez’, kutokana na kiwango bora anachokionyesha. Gomez aliyesajiliwa na Fountain msimu huu akitokea KVZ ya Ligi Kuu Zanzibar (ZPL), msimu uliopita aliibuka mfungaji bora jambo linalosubiriwa kuona rekodi zake zitakuwaje katika kikosi hicho cha…

Read More

Safari ya Taasisi za Umma kujiendesha kibiashara

Na Mwandishi wa OMH Serikali ya awamu ya sita chini ya Mhe. Dk. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, imedhamiria kufanya mageuzi makubwa kwenye mashirika ya umma kwa kuyafanya yajiendeshe kibiashara. …Na dereva wa safari ya mageuzi hayo ni Ofisi ya Msajili wa Hazina chini ya Bw. Nehemiah Mchechu, ambaye ni…

Read More