Scholz aunga mkono mpango wa kuwarudisha makwao wahalifu – DW – 06.06.2024

Akilihutubia bunge la Ujerumani Bundestag mapema leo, kiongozi huyo amesema wahalifu sugu hawana nafasi ndani ya Ujerumani licha ya kupewa hifadhi nchini humo.  Akilihutubia bunge mapema leo, Kansela Olaf Scholz amejikita katika masuala matatu muhimu: mpango wa kuwarudisha makwao wahamiaji wahalifu katika nchi ambazo zinatajwa kuwa sio salama, mafuriko yaliyoikumba Ujerumani hivi karibuni na uungwaji…

Read More

Wabunge Marekani waguswa uhifadhi Ngorongoro

Wabunge wa Bunge la Wawakilishi la Congress kutoka nchini Marekani wamepongeza juhudi za uhifadhi zinazofanywa na Mamlaka ya hifadhi ya Ngorongoro hususan utunzaji na ulinzi wa wanyamapori adimu kama faru wakiwa katika maeneo yao ya asili.  Anaripoti Mwandishi Wetu …(endelea). Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge Maliasili kutoka bunge hilo ambaye pia ni Mbunge wa Jimbo…

Read More

NIONAVYO: Kuondoka kwa Mayele kuliijenga Yanga

VICHWA vya habari vya vyanzo mbalimbali vya habari za michezo juma hili vimegubikwa na habari za uhamisho wa wachezaji mbalimbali hapa nchini. Habari hizi zinaongelea zaidi nani anatoka na nani anaingia hasa katika klabu kubwa za Yanga na Simba. Azam ambayo imekuwa bize na usajili hata wakati ligi inaendelea haifuatiliwi sana na hivyo wanafanya mambo…

Read More

Uzalishaji kiwanda cha sukari TPC ulivyomkuna Mchechu

Na Safina Sarwatt, Mtanzania Digital Msajili wa Hazina, Nehemiah Mchechu, ameeleza kuridhishwa kwake na ufanisi wa kiwanda cha sukari cha TPC Limited, akibainisha faida kubwa iliyopatikana katika kipindi cha mwaka 2022/23. Kiwanda hiki kimeweza kuzalisha faida ya Sh bilioni 72.7 baada ya kodi kutokana na mauzo ya Sh bilioni 235, huku gawio kwa wanahisa likifikia…

Read More