Mashabiki washangazwa Yanga kumtimua Gamondi

Baada ya Yanga leo Ijumaa Novemba 15, 2024 kutoa taarifa ya kumtimua kocha wao Miguel Gamondi bila kutaja sababu, mashabiki wa timu hiyo wamegawanyika katika mitandao ya kijamii. Taarifa ya kuachana na Gamondi pamoja na aliyekuwa msaidizi wake Moussa Ndew imetolewa leo baada ya tetesi kuzagaa wiki nzima na uongozi wa Yanga umesema upo kwenye…

Read More

TAFFA yampongeza rais Samia kuboresha huduma za upakiaji na upakuzi wa mizigo katika bandari ya Dar es Salaam

Chama cha Wakala wa Forodha Tanzania (TAFFA) kimepongeza juhudi zinazofanywa na Serikali chini ya Rais Samia Suluhu Hassan za kuboresha huduma za upakiaji na upakuzi wa mizigo katika bandari ya Dar es Salaam na kuwataka wanaobeza jitihada hizo kupuuzwa. Akiongea katika mkutano wake na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam, Rais wa Taffa Edward…

Read More

IDARA YA UHAMIAJI YA MULIKWA MAFUNZO MAREKANI, WASHIRIKI WATOA DIRA KUKABILIANA NA CHANGAMOTO – MWANAHARAKATI MZALENDO

 kwa Shirikisho la askari wa kike na wasimamizi wa sheria duniani yameendelea katika Jiji la Chicago Nchini Marekani ambapo mada na masomo mbalimbali yameendelea ambapo suala la wahamiaji na changamoto zake kutokana na mabadiliko ya Sheria baina ya Nchi na Nchi likamulikwa na washiriki wakapata nafasi ya kubadilisha uzoefu namna ya kukamiliana na changamoto hizo….

Read More

HALMASHAURI YA BAGAMOYO YAHITAJI MADAWATI 7,000 KATIKA SHULE ZA MSINGI NA SEKONDARI- DED SELENDA

HALMASHAURI ya wilaya ya Bagamoyo, Mkoani Pwani inakabiliwa na changamoto ya upungufu wa madawati 7,000 katika shule za msingi na sekondari. Kutokana na mahitaji ya madawati hayo inahitajika kiasi cha sh.milioni 350 ili kuondokana na tatizo hilo. Akitoa ufafanuzi huo katika baraza la madiwani, utekelezaji wa kata kwa kata kipindi cha miezi mitatu January hadi…

Read More