Doyo kugombea uenyekiti ADC, amkaribisha Msigwa

Na Winfrida Mtoi, Mtanzania Digital Katibu Mkuu wa Chama cha Alliance for Democratic Change (ADC), Doyo Hassan Doyo ametangaza dhamira ya kugombea nafasi ya uenyekiti wa chama hicho Taifa baada ya Hamad Rashid Mohammed kumaliza muda wake. Akizungumza na waandishi wa habari leo Juni 6, 2024 jijini Dar es Salaam, Doyo amesema anatangaza kugombea nafasi…

Read More

Sh787 bilioni zatengwa kukopesha wanafunzi 250,000

Dar es Salaam. Bodi ya Mikopo ya Elimu ya Juu (HESLB) imetangaza rasmi kufunguliwa kwa dirisha la uombaji mikopo ya elimu ya juu kwa njia ya mtandao ‘Online Loan Application Management System’ (OLAMS) kwa mwaka wa masomo 2024/2025. Dirisha hilo la maombi litakuwa wazi kwa muda wa siku 90 kuanzia Juni 1 hadi Agosti 31,…

Read More

‘Local content’ inavyotajirisha Watanzania, wavuna mabilioni

Ushirikishwaji wa Watanzania katika shughuli za madini (Local Content) na Uwajibikaji wa Kampuni kwa Jamii (CSR) ni moja ya mambo ambayo yamekuwa yakipigiwa chapuo na Serikali kupitia wizara ya madini ili Watanzania wanufaike na rasilimali zao. Mathalani katika ya Sheria ya madini ya mwaka 2017/2018 iliyoboreshwa mwaka 2019 na kisha kuongezwa kanuni ya ushirikishwaji wazawa…

Read More

WAZIRI SILAA AZUIA UTAPELI ENEO LA NSSF

    *Ni baada ya NSSF kuweka mtego wa kuwakamata matapeli hao   *Walitaka ‘kumpiga’ Mama milioni nane, wakaishia mikononi mwa polisi   Na MWANDISHI WETU,   Dar es Salaam. Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Mhe. Jerry Silaa amempa siku 14 Kamishna wa Ardhi Mkoa wa Dar es Salaam kuhakikisha amewaondoa watu…

Read More

Usiyoyajua ziara ya Rais Samia Korea Kusini

MWEI 31 mwaka huu, Rais Samia Suluhu Hassan, akiwa na ujumbe mzito, alisafiri umbali wa kilomita 10,200 kutoka jijini Dar es Salaam hadi jiji la Seoul, Korea Kusini (Jamhuri ya Korea) katika juhudi mpya za kuimarisha uhusiano kati ya Tanzania na taifa hilo lililoendelea kiteknolojia la mashariki ya mbali.  Anaandika Gabriel Mushi … (endelea). Kwa…

Read More