TAASISI YA MAMA ONGEA NA MWANAO KUSHIRIKI MAANDALIZI YA ‘HAFLA’ MTOKO WA PASAKA KULIOMBEA TAIFA JIJINI DAR

Taasisi ya Mama Ongea na Mwanao nchini imetangaza kushiriki maandalizi ya Mtoko wa Pasaka utakaofanyika Aprili 20,2025 katika ukumbi wa Super Dome, Masaki jijini  Dar es Salaam, ikilenga kuwaunganisha Watanzania kupitia nyimbo, maombi, na kutoa misaada kwa kina mama wajawazito Akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari uliofanyika leo katika Hoteli ya Serena jijini Dar es…

Read More

Elimu nyumbani wajibu uliosahaulika na wazazi wengi

Dar es Salaam. Jua la asubuhi linaangaza kupitia dirisha la jikoni, huku Anita Msita mwenye umri wa miaka minane akipaka siagi ya karanga kwenye mkate.  Sebuleni, kaka yake Sam Msita ameketi kwenye si sofa akisoma kitabu kuhusu viumbe wa baharini.  Aghalabu hivi ndivyo ilivyo katika nyumba hii ya familia ya  Msita Semu. Huyu akisoma hiki …

Read More

Afisa wa Umoja wa Mataifa anaelezea uharibifu kamili huko Carriacou kufuatia kimbunga Beryl – Masuala ya Ulimwenguni

Akizungumza kupitia kiungo cha video kutoka Grenada, Simon Springett, Mratibu Mkazi wa Umoja wa Mataifa huko Barbados na Karibea Mashariki, alielezea tukio la uharibifu mkubwa huko Carriacou – ambapo Beryl alianguka kwa mara ya kwanza tarehe 1 Julai. “Kisiwa kizima kimeathirika kabisa … hiyo ni asilimia 100 ya watu,” alisisitiza. Kimbunga cha Beryl ni kimbunga…

Read More

Idris azidi kung’ara Netflix – Millard Ayo

Mchekeshaji Mwigizaji super star, Idris Sultan ameipa heshima tasnia ya Filamu Tanzania akiwa nchini Afrika Kusini ambako alikua kwenye mualiko maalumu kutoka Platform ya Netflix kwa ajili ya msimu mpya wa tamthiliya ya Bridgerton ambayo ameshiriki ndani yake. Kupitia ukurasa wake wa Instagram Idriss Sultan alipost baadhi ya picha na video akiwa na mastaa mbalimabli…

Read More

Vinyongo, visasi vinavyogharimu maisha ya wenza

Mwanza. Hivi karibuni matukio ya wanandoa kujichukulia hatua mkononi ikiwemo kuua wenza wao yameshamiri huku, sababu kubwa ikitajwa ni visasi na vinyongo. Hili linatokana na kutokuwepo nafasi ya kuzungumza kutafuta namna bora yakutatua tatizo pale wanapotofautiana. Kufuatia hali hiyo baadhi ya wadau wakiwemo viongozi wa dini wamezungumza na jarida la Familia na kushauri namna bora…

Read More

Zahera, Namungo lolote linaweza kutokea

NAMUNGO imepoteza mechi ya pili mfululizo katika Ligi Kuu Bara msimu huu baada ya kufungwa mabao 2-0 na Fountain Gate na ghafla Mtendaji Mkuu, Omar Kaya akatangaza kuachia ngazi na uongozi wa juu kuridhia. Lakini, kwa sasa lolote linaweza kutokea kwa kocha mkuu, Mwinyi Zahera. Namungo ilikumbana na kipigo hicho juzi usiku kwenye Uwanja wa…

Read More