SERIKALI YAAJIRI WATU WENYE ULEMAVU 1098.

NA WILLIUM PAUL, MOSHI. SERIKALI imeendelea kuwathamini watu wenye ulemavu nchini ambapo imeendelea kuwapa ajira watu hao huku takwimu zikionyesha toka mwaka 2022 mpaka sasa jumla ya watu wenye ulemavu 1098 wameweza kuajiriwa. Kauli hiyo ilitolewa na Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu Sera Bunge na Uratibu, Ummy Nderiananga wakati wa ziara ya Katibu Mkuu…

Read More

Jaji mfawidhi Mhe.Latifa Mansoor awataka MPLC kupongeza Nguvu Elimu msaada wa kisheria

Jaji Mfawidhi wa Mhakama Kuu ya Tanzania Kanda ya Morogoro,Mh.Latifa Mansoor ameushauri Uongozi wa Shrika la Wasaidizi wa Kisheria Morogoro (MPLC) kuongeza nguvu katika kutoa elimu na msaada wa Kisheria ndani ya jamii kwa lengo la kupanua wigo wa upatikanaji wa haki ili kupunguza matukio mbalimbali ya uhalifu ikiwemo ukatili wa kijinsia,ubakaji,ulawiti na maadili. Aidha…

Read More

Mauaji Kanisani-4: Jaji alivyochambua ushahidi, akatamka ‘Katekista atanyogwa hadi kufa’

Njombe. Katika sehemu ya kwanza hadi ya tatu ya simulizi ya mauaji ya Katibu wa Kigango cha Makambako Parokia ya Makambano, Nickson Myamba, tumeona namna ushahidi wa Jamhuri ulivyokuwa na mshitakiwa Daniel Mwalango alivyojitetea. Katika simulizi hii ya mwisho, tunawaletea namna Jaji Kalunde aliyesikiliza kesi hiyo alivyochambua ushahidi wa pande zote mbili na kueleza kwanini…

Read More

SPOTI DOKTA: Wasiwasi unavyoathiri upigaji penalti

JUMAPILI iliyopita, Yanga ilitwaa ubingwa wa Kombe la Shirikisho unaodhaminiwa na Benki ya CRDB kwa ushindi wa penalti 6-5 dhidi ya Azam FC ni baada ya suluhu katika dakika 120. Mchezo huo uliopigwa usiku kwenye Uwanja wa  New Amaan Complex, Zanzibar na maelfu ya mashabiki ikiwamo waliovuka bahari kutoka Bara kushuhudia mchezo huo uliokuwa mgumu….

Read More

Vifo ajali ya lori, Coaster Mbeya vyafikia 16

Mbeya. Idadi ya vifo katika ajali iliyotokea jana Juni 5, 2024 imeongezeka na kufikia watu 16, huku miili minane ikitambuliwa na ndugu zao na majeruhi wengine wakiendelea na matibabu katika Hospitali ya Rufaa Kanda ya Mbeya. Ajali hiyo iliyotokea katika mteremko wa Simike, eneo la Mbembela lilihusisha lori lililofeli breki na kugonga magari mawili, ikiwamo…

Read More