Kipa Pamba azitamani namba za Diarra, Camara

WAKATI Pamba Jiji ikijiandaa kuvaana na Simba Novemba 22, mwaka huu kwenye Uwanja wa CCM Kirumba, Mwanza, kipa wa timu hiyo, Yona Amos amesema bado hajajipata na anatamani kuwa miongoni mwa makipa watano bora ili kufikia ubora wa makipa kama Djigui Diarra (Yanga) na Moussa Camara (Simba). Amos ameidakia Pamba Jiji katika mechi 11 za…

Read More

JUMAMOSI NI ZAMU YAKO KUFURAHIA MKWANJA NA MERIDIANBET

WIKIENDI ndiyo hii imefika jaman na wewe kama mteja wa meridianbet hauna haja ya kujiuliza utaanzaje Jumamosi yako. Suka jamvi lako hapa na ubeti mechi zako za uhakika usitoke kapa leo. Darubini yangu inaanza kumulika mechi ya Hungary ambaye atachuana dhidi ya Israel majira ya saa moja usiku. Timu zote zimetoka kupoteza mechi zao za kirafiki zilizopita,…

Read More

Wafanyabiashara 42 wa Comoro kushiriki maonyesho ya Sabasaba 2024

Dar es Salaam. Wafanyabiashara 42 kutoka nchini  Comoro , wanatarajiwa kushiriki maonyesho ya 48 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam, maarufu Sabasaba.Maonyesho hayo hufanyika kila mwaka katika viwanja vya Mwalimu Nyerere  jijini Dar es Salaam , ambapo taasisi, mashirika na kampuni mbalimbali huwa zikionyesha na kutangaza  bidhaa na huduma inazozitoa. Katika taarifa yake…

Read More

Wizara ya Nishati, Equinor wakutana Afrika Kusini

Wizara ya Nishati Tanzania imekutana na kufanya mazungumzo na Kampuni ya Equinor Tanzania AS kujadili, pamoja na mambo mengine, maendeleo ya utekelezaji wa mradi wa kusindika gesi asilia (LNG). Mazungumzo hayo yalifanyika Novemba 05, 2024 Jijini Cape Town – Afrika Kusini wakati wa Mkutano wa Wiki ya Nishati Afrika, mkutano ulioleta pamoja wadau zaidi ya…

Read More

TVLA YATOA ELIMU KWENYE MAONESHO SABASABA

WATAALAM wa Wakala ya Maabara ya Veterinari Tanzania (TVLA) wakiongozwa Mtendaji Mkuu wake Dkt. Stella Bitanyi wameendelea kutoa elimu kuhusiana na huduma mbalimbali zinazotolewa na TVLA katika Maonesho ya 48 ya Biashara Kimataifa ya Dar Es Salaam (Sabasaba) tangu yalipoanza Juni 28, 2024 na kutarajiwa kuhitimishwa Julai 13, 2024. Akizungumza katika maonesho hayo Julai 05,…

Read More