Chadema yabadili gia angani kisa Golugwa kuzuiwa, yamtumia mke wa Lissu

Meatu. Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimefanikiwa kuwasilisha taarifa ya hali ya kisiasa nchini katika mkutano wa Umoja wa Vyama vya Kidemokrasia Duniani (IDU) unaofanyika mjini Brussels, Ubelgiji, licha ya Jeshi la Polisi kumkamata na kumzuia Naibu Katibu Mkuu wao, Amani Golugwa kuhudhuria mkutano huo. Akihutubia mkutano wa hadhara mjini Mwanhuzi wilayani Meatu leo…

Read More

Susu: Mashabiki wa Simba sio bahili

Mwanadada shabiki wa mpira na mwanamitindo, Subira Wahure maarufu kama Susu Kollexion, ambaye mara nyingi huwa anawashangaza watu baada ya kuonekana akiwa amevalia jezi za Simba na Yanga, amesema anaamini kwamba mashabiki wa  Jangwani ni bahili kuliko wale wa Msimbazi. Susu ameweka wazi kuwa hana timu ingawa alishiriki matukio yote ya siku za klabu hizo…

Read More

Suluhu yatajwa uhaba madaktari bingwa, wabobezi Zanzibar

Dar es Salaam. Wizara ya Afya Zanzibar, imetaja mikakati ya kukabiliana na uhaba tiba za kibobezi na madaktari bingwa na bobezi, huku ikikaribisha wawekezaji katika sekta ya afya visiwani humo kuelekea utalii wa matibabu. Mikakati hiyo ni pamoja na uboreshaji wa miundombinu, ununuzi wa vifaa na usomeshaji wa wataalamu wa afya katika tiba za kibingwa…

Read More

Fadlu ala kiapo Kwa Mkapa, Walibya kazi wanayo

SIMBA inatupata karata muhimu leo kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa dhidi ya Al Ahli Tripoli ya Libya ikihitaji ushindi wa aina yoyote ili itinge hatua ya makundi ya Kombe la Shirikisho Afrika, huku kocha wa timu hiyo, Fadlu Davids akiapa hakuna kingine cha kuthibitisha ubora wao ila kushinda na kusonga mbele. Simba inarudiana na Walibya…

Read More

Rais wa Kenya ziarani siku 4 nchini Marekani

Rais wa Kenya William Ruto na Mke wa Rais Rachel Ruto waliwasili Atlanta, Georgia, Marekani siku ya Jumatatu (Mei. 20) kabla ya ziara ya kiserikali mjini Washington. Ziara ya Atlanta ni sehemu ya kwanza ya ushirikiano wa kidiplomasia wa Kenya na Marekani. Rais Ruto alitoa hotuba kuhusu utawala na maadili ya kidemokrasia katika Maktaba ya…

Read More

Coastal, Pamba zatua kwa Maseke

TIMU za Coastal Union na Pamba Jiji zimeingia anga za kuhitaji huduma za kipa Wilbol Maseke aliyemaliza mkataba wake na KMC msimu ulioisha akiwa na ‘clean sheet’ tatu alizozipata katika mechi tano alizocheza. Awali Mbeya City ndiyo ilianza kusaka huduma ya kipa huyo, lakini haikufikia naye mwafaka na sasa timu ambayo inamwelekeo mzuri ni Coastal…

Read More

Kuongeza majeruhi wa raia nchini Sudan kama mapigano yanavyozidi – maswala ya ulimwengu

Imekuwa siku 842 tangu migogoro kati ya askari kutoka kwa serikali ya jeshi na washirika wao wa zamani waliogeuzwa katika vikosi vya msaada vya haraka vya Parokia viliibuka nchini Sudan, na kuibadilisha nchi kuwa mzozo mkubwa zaidi wa kibinadamu ulimwenguni. Mapigano mazito yanaendelea katika Jimbo la Darfur Kaskazini, na vifo vingi vya raia viliripotiwa katika…

Read More