ANTI BETTY:  Nimwambie shemeji watoto anaolea sio wake?

Anti habari. Naomba usiniwashie moto nisaidie nifanyeje kutoa au kuishi na siri hii maana naona imeanza kunishinda. Nina rafiki yangu wa tangu shule ya awali, tulipoteana baadaye nikaja kukutana naye baada ya mume wangu na wake kuwa wanafanya kazi ofisi moja. Kwa kuwa tulikuwa marafiki kuanzia hapo tukawa karibu zaidi. Sasa hivi ana watoto watatu,…

Read More

Israel yaoshambulia Iran kwa njia ya anga

  JESHI la Israel limefanya mashambulizi kadhaa ya anga dhidi ya Iran mapema Jumamosi, kujibu kile jeshi lake linakiita “miezi ya mfululizo wa mashambulizi ” kutoka Tehran na washirika wake. Anaripoti Mwandishi Wetu kwa msaada wa BBC. (endelea). IDF – Jeshi la Ulinzi la Israel – linasema kuwa linafanya “mashambulizi mahususi dhidi ya malengo ya…

Read More

Kiongozi wa Hamas Ismail Haniyeh auwawa Iran – DW – 31.07.2024

Hadi sasa hakuna aliyekiri mauaji hayo, vidole vyote vinaelekezwa kwa Israel ambayo imebandika kwenye ukurasa wake wa Facebook picha ya Haniyeh ikiwa na maneno “ameangamizwa”.  Mengi zaidi yatakuja kufahamika baadaye kuhusu mashambulizi yaliyomuua mmojawapo wa viongozi wakubwa wa mapambano dhidi ya ukaliaji wa Israel kwenye ardhi ya Palestina, ambaye mataifa kadhaa ya Magharibi yanamtambua kama…

Read More

Kenya,Tanzania na Burundi zakumbwa na mafuriko mabaya zaidi – DW – 28.04.2024

Watu 76 wamepoteza maisha nchini Kenya kutokana na mafuriko yaliyosababishwa na mvua kubwa za masika zilizoanza kunyesha tangu mwezi Machi. Serikali nchini humo imetoa tahadhari kwa wananchi kujiandaa  kwa mvua kubwa zaidi. Mafuriko yasababisha adha kwa wananchi KenyaPicha: REUTERS Msemaji wa serikali ya Kenya Isaac Mwaura alisema, barabara na vitongoji vimefurika maji na zaidi ya…

Read More

MSAJILI WA HAZINA AZUNGUMZA NA MKURUGENZI MPYA WA HESLB

Msajili wa Hazina Nehemiah Mchechu (kulia), akizungumza na Mkurugenzi Mtendaji Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) Dkt. Bill Kiwia (wa pili kushoto), katika kikao kilichofanyika Jijini Dar es Salaam. Mkurugenzi Mtendaji Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB), Dkt. Bill Kiwia (kushoto), akizungumza alipokuwa akitoa wasilisho lake kwa…

Read More

Hersi aongoza dua maalum ya Manji

RAIS wa Yanga, Injinia Hersi Said ameongoza dua maalumu ya kumuombea aliyekuwa mwenyekiti na mfadhili wa klabu hiyo, Yusuf Manji. Dua hiyo imefanyika leo, makao makuu ya klabu hiyo yaliyopo mitaa ya Twiga na Jangwani na kuhudhuriwa pia na ofisa Mtendaji Mkuu wa Yanga, Andre Mtine na viongozi wengine wa klabu hiyo. Walikuwapo pia wazee…

Read More