Serikali kuendelea kushirikiana na viongozi wa dini

MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila amesema serikali inaendelea kushirikiana na viongozi wa dini kuhakikisha suala la maadili nchini. Jana, Chalamila alikua mgeni rasmi akimwakikisha Rais Dk.Samia Suluhu Hassan, katika Ibada ya Maadhimisho ya Miaka 90 ya Kanisa Kuu la Mtakatifu Albano, Upanga jijini Dar es Salaam. Alilitaka kanisa hilo kuendelea kujitafakari…

Read More

Lema asimama na Lissu, ampa neno Mbowe

Dar es Salaam. Aliyekuwa Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Kanda ya Kaskazini, Godbless Lema amemshauri mwenyekiti wa chama hicho Taifa, Freeman Mbowe kusikiliza ushauri wa familia yake wa kumtaka kutogombea tena nafasi hiyo.Lema amesema Mbowe mara kadhaa amekuwa na nia ya kupumzika na kuwaachia nguvu mpya vijana kuendeleza mapambano, lakini watu wanaoitwa…

Read More

Baada ya Lubumbashi, Yanga inaanzia hapa

YANGA imerejea asubuhi ya jana ikitokea Lubumbashi, DR Congo ilikopata pointi moja ya kwanza karika mechi za makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika, huku kocha wa timu hiyo na nahodha msaidizi wakitoa msimamo juu ya nafasi ya kutinga robo fainali kwa mara ya pili mfululizo. Yanga iliyopoteza mechi mbili za awali za Kundi A mbele…

Read More

Kocha Stellenbosch: Simba ni timu hatari CAF

Kocha wa Stellenbosch FC, Steve Barker, amesema Simba SC ni moja ya timu hatari zaidi kwenye mashindano ya Kombe la Shirikisho Afrika, akisisitiza kuwa ubora wa Wekundu wa Msimbazi hauishii kwa kikosi cha kwanza pekee, bali unakwenda hadi wachezaji wa akiba. Jumapili hii, Simba itakuwa mwenyeji wa Stellenbosch katika nusu fainali ya mkondo wa kwanza…

Read More

Mvutano wa Tanzania na Malawi umemalizwa hivi

Dar es Salaam. Baada ya mvutano wa kibiashara kati ya Tanzania na Malawi uliodumu kwa siku kadhaa, hatimaye nchi hizo zimemaliza tofauti zao kupitia mkutano wa mawaziri waliokutana Dodoma jana. Baada ya kikao hicho cha Mei 2, 2025, kilichoongozwa na Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki wa Tanzania, Balozi Mahmoud Thabit…

Read More