TUNA MKAKATI MAALUM NA COMORO- Prof JANABI

Mkurugenzi Mtendaji wa Hospitali ya Taifa ya Muhimbili,Prof Mohamed Janabi amesema kuwa wana mkakati maalum wa kutoa huduma za kisada za tiba kwa wagonjwa wanaofika hospitalini hapo kutoka visiwa vya Comoro kutokana na ongezeko la idadi yao katika siku za karibuni. Prof Janabi alisema hayo alipokuwa akizungumza na Balozi Mteule wa Tanzania nchini Comoro,Saidi Yakubu…

Read More

Madina, Vicky mguu sawa Sauzi

MADINA Idd na Vicky Elias wamedai zoezi ya kuzisoma changamoto za viwanja vya Leopards Creek, Mpumalanga, Afrika Kusini linaendelea vyema kabla ya michuano ya gofu ya wanawake wa Afrika  kuanza rasmi kuesho kutwa katika viwanja hivyo. Madina kutoka klabu ya Arusha Gymkhana na Vicky Elias  kutoka Dar Gymkhana ndiyo Watanzania pekee katika michuano hii inaoshirikiua…

Read More

Hiki hapa kinachozibeba Simba, Yanga Caf

SIMBA juzi ilitinga robo fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika baada ya kutoka sare ya bao 1-1 ugenini dhidi ya Bravos ya Angola huku Yanga ikijiweka katika nafasi nzuri ya kutinga hatua hiyo kwenye Ligi ya Mabingwa Afrika baada ya kuibuka na ushindi wa bao 1-0 ugenini dhidi ya Al Hilal huko Mauritania. Kwa sasa,…

Read More

Sara, binti aliyepata mimba shuleni anavyofukuzia ndoto ya udaktari

Dar es Salaam. Tangu utotoni ndoto yake ilikuwa kuwa daktari, kadiri alivyokua shauku ya kuikaribia taaluma hiyo iliongezeka. Aliamini njia pekee ya kufanikisha ndoto hiyo ni kuongeza juhudi kwenye masomo, jambo alilotekeleza hadi pale alipoanza kusumbuliwa na maradhi. Mwaka 2022 akiwa kidato cha pili afya ilizidi kutetereka, ikamlazimu kukatisha masomo ili kupata tiba. Aliporejea shuleni…

Read More

Ouma, Coastal saa zinahesabika | Mwanaspoti

COASTAL Union iko katika mazungumzo ya mwisho ya kuachana na kocha mkuu, David Ouma kwa kile kinachoelezwa viongozi hawaridhishwi na mwenendo wa matokeo inayoyapata. Taarifa za ndani zilizonazwa na Mwanaspoti zinaeleza kwamba, Coastal baada ya kuchapwa mabao 3-0 na Bravos do Maquis ya Angola katika mchezo wa awali wa Kombe la Shirikisho Afrika, ilimtaka Ouma…

Read More