
TUNA MKAKATI MAALUM NA COMORO- Prof JANABI
Mkurugenzi Mtendaji wa Hospitali ya Taifa ya Muhimbili,Prof Mohamed Janabi amesema kuwa wana mkakati maalum wa kutoa huduma za kisada za tiba kwa wagonjwa wanaofika hospitalini hapo kutoka visiwa vya Comoro kutokana na ongezeko la idadi yao katika siku za karibuni. Prof Janabi alisema hayo alipokuwa akizungumza na Balozi Mteule wa Tanzania nchini Comoro,Saidi Yakubu…