Niyonzima arejea Rayon Sport | Mwanaspoti

Kiungo mkongwe Haruna Niyonzima amerejea nchini kwao Rwanda baada ya kusaini mkataba na timu yake ya zamani ya Rayon Sport. Niyonzima, amesaini mkataba wa mwaka mmoja wenye kipengele cha kuongeza mwaka mwingine kuitumikia Rayon. Hii inakuwa ni mara ya pili kwa Niyonzima kufanya kazi na Rayon, ambayo aliwahi kuitumikia msimu wa 2006-2007. Tayari Rayon, imeshamtambulisha…

Read More

Meridianbet weka pesa na Airtel Money utoboe kibingwa  

  Meridianbet na Airtel Money waja na promosheni mahususi kwa ajiri ya mabingwa wote wanaotumia airtel, hii ni kwa wote wateja wapya na wale walipo ukitaka kutafuta tobo la mabingwa basi meridianbet tumekutobolea tobo la kutoboa kibingwa. Kila siku mabingwa wanapatikana ndani miezi mitatu hata wewe unaweza kuwa bingwa, mashujaa wanafurahia kutoboa kibingwa na meridianbet…

Read More

Gambo, Makonda uso kwa uso mbele ya Katibu Mkuu CCM

Arusha. Katika kile kinachoonekana kama juhudi za viongozi wa juu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kushusha mvutano wa kisiasa kati ya Mbunge wa sasa Jimbo la Arusha Mjini, Mrisho Gambo na aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda ambaye anatajwa kuweka nia yake kulitwa jimbo hilo. Mapema leo, Katibu Mkuu wa CCM, Dk Emmanuel…

Read More

Tuungane kwa ajili ya Taifa Stars CHAN

KESHOKUTWA ndiyo siku muhimu na kubwa katika soka letu hapa Tanzania ambalo ni mechi ya ufunguzi wa Fainali za CHAN baina ya Taifa Stars na Burkina Faso pale katika Uwanja wa Benjamin Mkapa. Sisi hapa kijiweni tumefurahia sana kusikia mechi hiyo imepangwa kuchezwa kuanzia saa 2:00 usiku kwa sababu tunaamini ni muda sahihi ambao watu…

Read More

Ahadi yatimizwa, wakazi Hanang wakabidhiwa nyumba

Hanang. “Baada ya dhiki faraja.” Methali hii inawiana na hali waliyopitia wakazi wa mji mji mdogo wa Katesh, wilayani Hanang, ambao Desemba 3, 2023 walikumbwa na maafa yaliyotokana na maporomoko ya tope. Baada ya mwaka mmoja, leo Desemba 20, 2024, Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa amekabidhi nyumba 109 ambapo watu 745 wataishi, ikiwa ni utekelezaji wa…

Read More