
JAMII YATAKIWA KUTUNZA MAZINGIRA KUMLINDA MWANAMKE
NA EMMANUEL MBATILO, MICHUZI TV KARIBU asilimia 80% ya shughuli za kibinadamu zinasababisha mabadiliko ya hali ya hewa, hivyo Jamii imetakiwa kuhakikisha inatunza mazingira kwa kupanda miti na kuacha kukata miti hovyo pamoja na kutunza vyanzo vya maji ili kupunguza mabadiliko ya tabianchi ambayo inaonekana kumuathiri kwa kiasi kikubwa mwanamke. Hayo yamebainishwa leo Juni 5,…