Wananchi Kusini Unguja waeleza matamu, machungu RC akiwapa matumaini

Unguja. Wananchi wa Mkoa wa Kusini Unguja, licha ya kupongeza hatua mbalimbali za maendeleo wanazozishuhudia, wamemweleza Mkuu wa Mkoa huo, Ayoub Mohamed Mahmoud, kuhusu changamoto zinazowakabili, huku wakielekeza lawama kwa baadhi ya masheha wanaodaiwa kutozingatia majukumu yao ipasavyo. Wakizungumza kwa nyakati tofauti katika maskani ya wazee, kupitia programu maalumu ya Kijiwe cha Maendeleo, baadhi ya…

Read More

WANA-DGSS WAADHIMISHA SIKU YA KIMATAIFA YA KIDEMOKRASIA IKIHIMIZA USHIRIKI WA WANAWAKE KATIKA MAAMUZI

Septemba 15 ya kila mwaka, wananchi kote duniani huadhimisha Siku ya Kimataifa ya Demokrasia, siku ambayo inelanga kukumbusha na kuhimiza majukumu na wajibu wa kukuza na kudumisha kanuni za demokrasia duniani kote. Leo Jumatano Septemba 18, 2024 wadau wa Semina za Jinsia na Maendeleo (GDSS) wameitumia siku hiyo kama sehemu ya maadhimisho ambapo kwa pamoja…

Read More

MOROGORO ASISITIZA UMUHIMU WA TAKWIMU

  Katibu Tawala wa Mkoa wa Morogoro, Dkt. Mussa Ali Mussa, amewataka Watanzania kutumia Takwimu rasmi katika mipango na shughuli mbalimbali za kiuchumi ili kupunguza athari zinazotokana na kufanya mipango ya maendeleo bila kuzingatia takwimu. Dkt. Mussa aliyasema hayo wakati akifungua mkutano wa Kikanda, Kanda ya Pwani, kuhusu Sheria ya Ununuzi wa Umma, Sura No….

Read More

Mpole, Ninja wasaka nafasi za CAF

WATANZANIA wanaochezea soka Ligi Kuu ya DR Congo, mshambuliaji George Mpole (FC Lupopo) na beki Abdallah Shaibu ‘Ninja’ (Lubumbashi Sport), wamezungumzia namna kazi ilivyo ngumu kuelekea kumaliza msimu huu wa 2023/24. Mpole timu yake inaonekana kuwa na nafasi ya kucheza michuano ya CAF kwani ipo nafasi ya tatu, huku TP Mazembe ikiwa inaongoza ligi, lakini…

Read More

Kampuni mbili za Kitanzania zajitosa matengenezo Mv Kigamboni

Dar es Salaam. Muda wa zabuni iliyotangazwa kusaka mkandarasi atakayekifanyia matengenezo makubwa kivuko cha Mv Kigamboni umefika mwisho, kampuni mbili za Kitanzania zikijitokeza kuomba kazi hiyo. Kwa mujibu wa taarifa ya zabuni hiyo namba X8/2023/2024/W/53 mkandarasi anayehitajika ni atakayekuwa na uwezo wa kufanya ukarabati mkubwa wa kivuko hicho, kwa maana ya kubadilisha zaidi ya asilimia…

Read More

Wasira- CCM ipo tayari kukosolewa lakini…

Mbogwe. Chama cha Mapinduzi (CCM) kimesema kipo tayari kukosolewa kinapokiuka kanuni za utawala bora huku kikionya wakosoaji kutotumia njia za kuondoa amani na umoja miongoni mwa wananchi. Kauli hiyo ya CCM imetolewa leo Juni 16, 2025 na Makamu wake Mwenyekiti Bara, Stephen Wasira alipozungumza na wananchi na viongozi wa CCM Jimbo la Mbogwe mkoani Geita…

Read More