Mume unautambua wajibu huu kwa mkeo mjamzito?

Dar es Salaam. Ujauzito ni safari ya kipekee na nyeti inayohitaji umakini na ushirikiano wa karibu kati ya wenza. Kwa muda mrefu, katika jamii nyingi, suala la kufuatilia afya ya ujauzito limeachwa kuwa jukumu la wanawake pekee. Hata hivyo, ushiriki wa mume katika mchakato huu ni jambo muhimu sana linaloleta manufaa makubwa kwa mama, mtoto,…

Read More

Waziri Mkuu awataka wakulima wa pamba kuzalisha kwa tija

Simiyu. Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amewahimiza wakulima wa zao la pamba kuongeza uzalishaji kwa ekari kwa kufuata kanuni bora za kilimo. Kanuni bora za kilimo cha zao hilo ni uchaguzi wa mbegu bora, maandalizi ya shamba, upandaji wenye kufuata vipimo, palizi kwa wakati, udhibiti wa wadudu na magonjwa pamoja na kuvuna kwa wakati muafaka.   Akizungumza…

Read More