Bado Watatu – 7 | Mwanaspoti

“MUME wako anaitwa nani?” “Anaitwa Omar Kikasha.” “Hakuna mtu mwingine anayeishi katika nyumba hii anayetumia jina hili?” Nilianza kutomuamini mwanamke huyo kwa kuhisi alikuwa anatuficha. Tabia ya binaadamu akishaona mtu anaulizwa na polisi hata kama hajui amefanya kosa au la, anamficha. Sijui ni kwanini? “Mume wako yuko wapi?” nikamuuliza. “Anafanya kazi wapi?” “Mume wangu ni…

Read More

Katibu wa CCM Wilaya ya Mkuranga afariki dunia

Tanga. Katibu wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Wilaya ya Mkuranga mkoani Pwani, Salehe Kikweo amefariki dunia wakati akiendelea kupatiwa matibabu Hospitali ya Mji Handeni, Mkoa wa Tanga. Taarifa ya kifo hicho imetolewa na Katibu wa CCM, Wilaya ya Handeni, Mayassa Kimbau leo Jumanne Agosti 26, 2025 kupitia mitandao ya kijamii na kueleza Kikweo amefariki dunia…

Read More

Unatunzaje kitovu cha mtoto anapozaliwa?

Kitovu cha mtoto mchanga baada ya kuzaliwa ni sehemu nyeti inayohitaji uangalizi wa karibu, ili kuhakikisha mtoto anakua salama bila kupata maambukizi.  Baada ya kuzaliwa na kutenganishwa na kondo la nyuma la mama, kitovu hubaki kikiwa kimefungwa kwa kitambaa maalum au kipande cha plastiki na huchukua siku kadhaa kabla ya kukauka na kuanguka. Mkuu wa…

Read More

Nafasi za Kazi 27 kwa Wataalamu wa Hesabu, TEHAMA, Uhandisi na Sekta Nyingine

Global Publishers February 28, 2026 0 Comments Dodoma, Tanzania – Cereals and Other Produce Board of Tanzania (COPBT) kwa kushirikiana na Public Service Recruitment Secretariat (PSRS) imetangaza nafasi 27 za kazi kwa Wataalamu wa ndani wenye uadilifu, uthubutu na weledi. Nafasi hizi zinahusisha sekta mbalimbali ikiwemo hesabu, TEHAMA, uhandisi, upimaji wa mazao, ubora wa bidhaa,…

Read More