
TLS yawafunda waandishi wa habari, yawataka kusaidia umma kutumia uhuru wa kujieleza
Chama cha Wanasheria cha Tanganyika (TLS), kimewataka wandishi wa habari nchini kuzitumia sheria zilizopo kuhakikisha wanausaidia umma katika ukuzaji wa uhuru wa kujieleza. Anaripoti Wellu Mtaki, Dodoma… (endelea). Hayo yameelezwa jana tarehe 4 Juni 2024 jijini Dodoma na Makamu Mwenyekiti wa TLS Wakili Deus Nyabiri alipofungua mafunzo ya siku mbili ya kuwajengea uwezo waandishi wa…