DC Itunda akemea imani potofu zinazosababisha ubakaji

VITENDO vya ubakaji, mauaji yatokanayo na visa vya wivu wa mapenzi na imani za kishirikina, vimetajwa kuwa ni moja ya changanoto zinazoikumba jamii hali inayosababisha kukithiri kwa mmomonyoko wa maadili. Anaripoti Ibrahim Yassin … Songwe, (endelea). Kauli hiyo imetolewa jana Jumanne na Mkuu wa wilaya ya Songwe, Solomoni Itunda katika hitimisho la mkutano wa injili…

Read More

Sababu Jeshi la Polisi kutajwa 10 bora Afrika

Dar es Salaam. Jeshi la Polisi la Tanzania limetajwa kuwa miongoni mwa majeshi bora 10 barani Afrika kwa kuwa na weledi na kuheshimu haki za wananchi, utafiti wa Afrobarometer umebainisha. Katika kigezo hicho, Burkina Faso imeongoza ikifuatiwa na Morocco, Niger, Benin, Mali, Senegal, Tanzania, Madagascar, Mauritania na Mauritius. Mbali na kigezo hicho, pia Tanzania imeongoza…

Read More

TAAMULI HURU: 4R zitumike kuponya makovu ya Mapinduzi ya Zanzibar

Jumapili ya Januari 12, 2025 imedondokea siku ileile ya Mapinduzi ya Zanzibar yaliyotokea Jumapili ya Januari 12, 1964. Tanzania imeadhimisha miaka 61 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar. Wakati Wazanzibari wengi wanashereheka kuyapongeza Mapinduzi hayo na wengine hadi kuyapa utukufu kwa kuyaita Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar, ambapo neno utukufu kwa dini mbili kuu, Wakristu na Waislamu,…

Read More

Sekta binafsi nchini yaangazia mikopo nafuu ya kimataifa

Dar es Salaam. Sekta binafsi nchini inatarajia kunufaika kuvutia mitaji na mikopo ya gharama nafuu kutoka taasisi za fedha za kimataifa, kufuatia hatua ya rais wa Shirikisho la Sekta Binafsi kuanzisha mazungumzo ya kimkakati na benki kubwa za kimataifa. Rais wa Shirikisho la Sekta Binafsi Tanzania (TPSF), Angelina Ngalula, ambaye pia ni Mkurugenzi wa kampuni…

Read More

MAWAKILI WATAKIWA KUFANYA KAZI KWA WELEDI NA KUZINGATIA MIIKO YA KAZI ZAO

  Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Hamza Johari, amewahimiza Mawakili wapya wa kujitegemea walioapishwa leo kuhakikisha wanatekeleza majukumu yao kwa kuzingatia weledi, maadili, na miiko ya taaluma yao. Akizungumza wakati wa hafla ya kuapishwa kwa Mawakili hao iliyofanyika katika Viwanja vya Karimjee jijini Dar es Salaam, Johari aliwataka wazingatie umuhimu wa kujiendeleza kielimu na kitaaluma ili…

Read More

Senegal wachaguwa wabunge wapya – DW – 17.11.2024

Uchaguzi huu unaofanyika miezi minane baada ya Rais Faye na timu yake ya waliokuwa wapinzani wakubwa wa serikali kuingia madarakani, ni muhimu kwa kiongozi huyo kijana anayeelemea mrengo wa kushoto na ambaye alitumia kampeni yake kuahidi mageuzi makubwa ya kiuchumi, mfumo wa haki za kijamii na mapambano dhidi ya ufisadi. Ahadi hizo zinatajwa kuwa ndizo…

Read More