Kikosi cha msimu cha Fei Toto; Yanga 7, Azam 3

KIUNGO wa Azam FC, Feisal Salum ‘Fei Toto’ ambaye amepachika mabao 19 msimu huu akisema ndio msimu wake bora licha ya kukosa mataji, ametaja kikosi bora chake cha msimu akiwajumuisha nyota saba wa Yanga, watatu wa Azam na mmoja wa KMC, ambao anaamini wakicheza mechi hakuna wa kuwazuia. Akizungumza na Mwanaspoti, Fei Toto, amesema alikuwa…

Read More

Yanga SC yapewa Tsh milioni 537.5 kwa kutwaa Ubingwa

Club ya Yanga leo imepewa Tsh milioni 537.5 na Mdhani wao wa Mkuu SportPesa kama sehemu ya zawadi (bonus) ya kufanya vizuri katika msimu wa 2023/2024. Hundi hiyo imepokelewa na Rais wa Yanga Hersi Said kutoka kwa Mkurugenzi Mtendaji wa SportPesa Abbas Tarimba, hiyo ni kama motisha kwa Yanga ya kuhakikisha wanaendelea kufanya vizuri. Yanga…

Read More

Aliyemtapeli Ridhiwani Sh4 milioni, atupwa jela miaka saba

Dar es Salaam. Mahakama  ya Hakimu Mkazi Kisutu, imemhukumu Innocent  Chengula (23) kwenda jela miaka saba, baada ya kupatikana na makosa sita likiwamo la kujipatia Sh4 milioni kwa njia ya udanganyifu kutoka kwa Naibu Waziri Ofisi ya Rais Menejimenti na Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Ridhiwani Kikwete. Chengula alijipatia fedha hizo, baada ya kujitambulisha…

Read More

Mziki wa Ouma washtua Coastal

KUONGOZA timu hadi kufanikiwa katika nchi ya kigeni si kazi rahisi kwa kocha yeyote yule. Ndio maana wakati kocha Mkenya David Ouma alipokubali ofa ya kuwa kocha mkuu wa Coastal Union ya Ligi Kuu ya Tanzania Bara, Novemba mwaka jana, alikuwa na kibarua kikubwa cha kuondoa timu hiyo katika hatari ya kushushwa daraja. Miezi sita…

Read More

Bei mafuta ya petroli, dizeli zashuka

Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA), imetangaza bei kikomo ya mafuta ya petroli kupitia Bandari ya Dar es Salaam inayoanza kutumika leo tarehe 5 Juni 2024, kuwa imeshuka kwa Sh52.72 na kufikia Sh3, 261 kwa lita moja, ikilinganishwa na bei ya mwezi uliopita. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea). Taarifa iliyotolewa Ewura…

Read More

AKIBA COMMERCIAL BANK PLC YAAZIMISHA SIKU YA MAZINGIRA DUNIANI KWA KUZINDUA VIUNGA VILIVYOBORESHWA VYA INDEPENDENCE SQUARE, DODOMA

Mkuu wa Wilaya ya Dodoma, Mhe. Alhaji Jabir Shakimweri, akikata utepe kuashiria kuzindua rasmi viunga vilivyoboreshwa vya Independence Square, akiwa pamoja na Meneja wa Tawi la Dodoma la Benki ya Akiba, Bi. Upendo Makula (wa pili kushto). Wengine katika picha ni wageni waliohudhuria hafla hiyo. Mkuu wa Wilaya ya Dodoma, Mhe. Alhaji Jabir Shakimweri, akikagua…

Read More