UOGA WA WAANDISHI KUSHINDWA KUFANYIKA HABARI ZA UCHUNGUZI NCHINI

AMIDI Shule kuu ya uandishi wa habari na mawasiliano kwa umma, Dkt. Mona Mwakalinga amesema sababu inayopelekea kushindwa kufanyika habari za uchunguzi nchini ni uoga ambao umewakumba waandishi walio wengi. Amesema uandishi wa uchunguzi ni muhimu kwani unawawajibisha walioko kwenye mamlaka kwani wakienda kinyume habari za uchunguzi zitawamulika, Ameyasema hayo leo Agosti 30, 2024 katika…

Read More

OFISI YA NAIBU WAZIRI YAPOKEA GAWIO BILIONI 4.35

   Dkt. Biteko asema ni matokea ya ziara ya Rais Samia nchini Zambia  Aitaka TAZAMA ijiendeshe kwa faida Na Ofisi ya Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati NAIBU Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko amepokea gawio la Serikali la zaidi ya Shilingi Bilioni 4.35, kutoka Kampuni ya Bomba la Kusafirisha…

Read More

Ajali ya ndege yaua 241 India, mmoja anusurika

Ahmedabad.  Mwaka 2025 umeendelea kuwa wa majanga kwa sekta ya usafirishaji wa anga duniani baada ya ndege ya Shirika la Ndege la Air India yenye abiria na wahudumu 242 kuanguka eneo la makazi la Meghani Nagar nchini India. Ndege hiyo aina ya Boeing 787-8 Dreamliner iliyokuwa safarini kutoka Ahmedabad India kuelekea jijini London nchini Uingereza…

Read More

DCEA Yateketeza Ekari 157 za Bangi Kondoa

Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA), kwa kushirikiana na Kamati ya Ulinzi na Usalama ya Wilaya ya Kondoa pamoja na wananchi wa Kata ya Haubi, wamefanikisha operesheni maalum ya kutokomeza kilimo haramu cha bangi katika maeneo ya Hifadhi ya Milima ya Haubi, wilayani Kondoa, mkoani Dodoma. Akizungumza kwa niaba ya Kamishna…

Read More

Mtoto asiyependwa nyumbani hawezi kupenda

Umewahi kufikiri namna tunavyoendelea kutengeneza kizazi cha watu wanaochoshwa na upendo? Kuna ukweli mchungu kuwa tumeanza kuwa na kizazi cha watu wasiojali uhusiano wala hisia za watu.   Hiki ni kizazi, aghalabu, kilichozaliwa na kizazi cha wazazi wasomi, wenye pesa kuliko kizazi kilichopita. Ukweli mchungu ni kwamba tunaishi kwenye nyakati ambazo wazazi hatuna muda wa…

Read More

Aubin Kramo arejea Asec Mimosas

WINGA Aubin Kramo wa timu ya Simba aliondoka nchini mwanzoni mwa wiki hii kwenda Ivory Coast ambapo akiwa huko amekuwa akifanya mazoezi na Asec Mimosas  aliyowahi kuic hezea kabla ya kutua Msimbazi. Kramo na mastaa wengine wa Simba ambao hawapo katika timu za taifa walipewa mapumziko ya siku 20 kabla ya kurejea kambini kujianda na…

Read More

Changamoto ya malazi Singida yaikwamisha KMC Dodoma

Kikosi cha KMC kimeendelea kusalia Dodoma baada ya kukosa sehemu ya malazi mjini Singida ambako itacheza kesho dhidi ya Singida Black Stars mchezo wa Ligi Kuu Bara. Kwa mujibu wa ofisa habari wa timu hiyo, Khaleed Chukuchuku, wameshindwa kusafiri leo kwenda Singida kwakuwa timu imekosa mahali pa kufikia. “Tumeshindwa kufika kituo cha mechi mpaka muda…

Read More