KATIBU MKUU ALLY SENGA GUGU AFANYA MAZUNGUMZO NA BALOZI WA UMOJA WA ULAYA ANAEWAKILISHA UMOJA WA ULAYA NCHINI TANZANIA

Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Ally Senga Gugu na Balozi wa Umoja wa Ulaya, Christine Grau (kulia) wakizungumza juu ya masuala mbalimbali yanayohusu ushirikiano katika masuala ya kudhibiti uhalifu.Kikao hicho kimefanyika Makao Makuu ndogo ya wizara jijini Dar es Salaam.Picha na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi Balozi wa…

Read More

Liverpool Yathibitisha Ofa ya Mkataba kwa Adrian.

Katika tukio la hivi majuzi, Klabu ya Soka ya Liverpool imethibitisha rasmi kwamba wametoa ofa ya mkataba kwa mlinda mlango wao, Adrian San Miguel del Castillo, anayejulikana kwa jina la Adrian. Klabu hiyo inatafuta kuhifadhi huduma za Adrian na imeanzisha mazungumzo ya kuongeza muda wake wa kukaa Anfield. Adrian alijiunga na Liverpool mnamo Agosti 2019…

Read More

WATU 200 KWA MWAKA HUFA KWA KUZAMA MAJI: EMEDO

Ofisa uhusiano wa Mamlaka ya Hali ya Hewa nchini, Monica Mutoni akifafanua jambo wakati wa warsha ya siku moja kwa wanahabari na wadau wa Hali ya hewa. Warsha hiyo iliyoandaliwa na Shirika lisilokuwa la Kiserikali la Usimamizi wa Mazingira na Maendeleo (EMEDO) imefanyika jijini Dar es Salaam Juni 4, 2024.Meneja Mradi wa kuzuia kuzama maji…

Read More

Makampuni wazawa wapewa kipaumbele utekelezaji mradi wa LTIP

Asilimia themanini (80%) ya kazi zote za urasimishaji mijini kupitia Mradi wa Uboreshaji Usalama wa Milki za Ardhi (LTIP) zitatekelezwa na Makampuni binafsi yaliyosajiliwa kufanya kazi za upangaji (mipango miji) na upimaji wa ardhi na asilimia (20%) ya kazi hizo zinatekelezwa na Serikali kupitia watumishi walioko katika Halmashauri husika. Hayo yamebainishwa na Mwakilishi wa Meneja…

Read More

Vifo vya wanaokufa maji vyafikia 200, EMEDO watoa neno

  SHIRIKA lisilokuwa la kiserikali la usimamizi wa Mazingira na Maendeleo ya Uchumi (EMEDO) limesema kuwa takwimu za shirika la afya Duniani (WHO) zinaonyesha kuwa zaidi ya watu Mia mbili kwa mwaka wanakufa kutokakana na kuzama maji. Anaripoti, Erasto Masalu, Dar es Salaam … (endelea).  Hayo yamesemwa Juni 4,2024 na Mkurugenzi wa Shirika hilo Editruda…

Read More

Mauaji ya Kikatili Kanisani- 3

Njombe. Jana katika mfululizo wa simulizi ya mauaji haya ya kikatili tuliwaletea sehemu ya maelezo ya onyo ya kukiri kosa ya Katekista Daniel Mwalango maarufu kwa jina la Dani, aliyoyaandika akielezea hatua kwa hatua namna alivyotekeleza mauaji. Katika maelezo yake alisema Februari 7,2022, walikubaliana na Nickson Myamba kukutana ndani ya duka na wakiwa ndani ya…

Read More

RAIS SAMIA SULUHU HASSAN ASHIRIKI MKUTANO WA JUKWAA LA MIUNDOMBINU KATI YA KOREA NA AFRIKA JIJINI SEOUL, JAMHURI YA KOREA

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akihutubia Viongozi pamoja na Wageni mbalimbali walioshiriki Mkutano wa Jukwaa la Miundombinu baina ya Korea na Afrika ambao umefanyika Westin Josun Jijini Seoul, Jamhuri ya Korea tarehe 05 June, 2024. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa pamoja na…

Read More

Huko Simba Mafia wamerudi kazini, safu ya usajili yapanguliwa

SIMBA imefanya maamuzi mazito. Tena kimyakimya. Imewarudisha kundini watu wanne muhimu ambao wanajua jinsi ya kufanya umafia kwenye usajili nchini Tanzania. Na ikawapa majukumu ya kusimamia shoo kuanzia sasa kurejesha hadhi ya klabu hiyo. Baada ya kukaa na kugundua kuwa kinachoikwamisha timu hiyo kwa kipindi cha misimu mitatu ni aina ya usajili ambao ilikuwa inafanya,…

Read More

Mkenya alie rekodiwa akimpiga polisi ashtakiwa

Dereva Mkenya mwenye umri wa miaka 19 ambaye polisi wanasema alirekodiwa akimpiga polisi wa trafiki kwenye barabara katika mji mkuu, Nairobi, amefunguliwa mashtaka ya wizi kwa kutumia vurugu. Video ya tukio hilo, ambayo imesambazwa sana, ilionyesha mshambuliaji akimshambulia polisi kwa mateke na makofi wakati wa tukio la Jumapili. Kisha alitoroka kutoka eneo la tukio baada…

Read More