Kailima ataja sababu wajumbe wa INEC kutojiuzulu

Dar es Salaam. Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC), imesema hakuna kifungu chochote cha sheria kinachotaka watumishi wake kujiuzulu kwenye nafasi zao kupisha mchakato wa kupatikana wajumbe wapya. Amesema kuna uhalali wa kisheria unaowafanya watumishi hao waendelee kuwapo kwenye nafasi hizo. Kauli ya INEC, inajibu msimamo wa Chama cha ACT-Wazalendo unaotaka watumishi wa tume…

Read More

Serikali yajitwisha kero za mabaharia Tanzania

Bagamoyo. Serikali ya Tanzania imesema itazifanyia kazi changamoto na fursa zinazowakabili mabaharia nchini. Miongoni mwa changamoto hizo ni nyenzo dhaifu za kusimamia mambo ya bahari yaani mbinu zisizo za wazi na zenye kuakisi wakati uliopo. Ukosefu wa sera na kanuni za ajira za ubaharia na kuwepo kwa mifumo kandamizi za uwajiri wa mabaharia hususan katika…

Read More

KESI YA UKAHABA: Hakimu ahamishwa, yapigwa kalenda

Dar es Salaam. Kesi ya ukahaba inayomkabili, Amina Ramadhani na wenzake 17 imeshindwa kuendelea na ushahidi baada ya Hakimu Mkazi Mkuu wa Mahakama ya Sokoine Drive, Francis Mhina kuhamishwa katika mahakama hivyo. Washtakiwa hao wanadaiwa wakati wanakamatwa walikuwa wamevaa mavazi yasiyo ya heshima, ambayo ambayo ni kiashiria cha vitendo vya ukahaba. Akizungumza mbele ya Hakimu…

Read More

RC Chongolo kuondoa changamoto ya foleni ya malori Tunduma

Tunduma. Mkuu wa Mkoa wa Songwe, Daniel Chongolo, ameunda kamati maalumu kuchunguza sababu za ucheleweshaji wa malori ya mizigo kuvuka mpaka wa Tunduma, ambapo imebainika baadhi hukaa hadi siku nane yakisubiri vibali vya kuvuka. Kamati hiyo imeundwa baada ya Chongolo kufanya mazungumzo na wadau wa usafirishaji kwenye kituo cha kutoa huduma kwa pamoja (OSBP) kilichopo…

Read More

KANDASIKIRA WAISHUKURU FAJU 45 KUWAJENGEA OFISI

Na Mwandishi wetu, Simanjiro WAKAZI wa Kijiji cha Kandasikira Kata ya Shambarai Wilayani Simanjiro Mkoani Manyara, wameishuku kampuni ya Faju 45 company LTD kwa kuwajengea ofisi ya kisasa. Pamoja na kujenga ofisi ya kisasa iliyogharimu sh. 20 milioni pia kampuni ya Faju 45 LTD kupitia Mkurugenzi wake Safina Msangi, imenunua samani za ofisi za ndani…

Read More