Watumishi watatu waadhibiwa Longido, mmoja afukuzwa kazi

Arusha. Baraza la Madiwani la Halmashauri ya Wilaya ya Longido Mkoa wa Arusha, limetoa adhabu kwa watumishi wake watatu wa halmashauri hiyo, akiwemo mmoja kufukuzwa kazi. Mtumishi mwingine ameshushwa cheo na mwingine ameadhibiwa kupunguziwa mshahara wake kwa asilimia 15 kwa kipindi cha miaka mitatu mfululizo kutokana na kuisababishia Serikali hasara ya zaidi ya Sh300 milioni….

Read More

MIRADI YA UTALII KULETA MAGEUZI

*********** Na Mwandishi wetu – Singida Wizara ya Maliasili na Utalii inaendelea kuimarisha Sekta ya Utalii, kwa kuweka mikakati mbalimbali ya kuchechemua ongezeko la watalii na kukuza pato la Taifa kupitia Mfuko wa Maendeleo ya Utalii (TDL). Akizungumza kwenye ufunguzi wa kikao kazi cha viongozi wa Taasisi za Wizara hiyo zinazotekeleza miradi kupitia mfuko huo,…

Read More

PSPTB yawanoa TRA – MICHUZI BLOG

 Naibu Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Mcha Hassan Mcha ameipongeza Bodi ya Wataalam wa Ununuzi na Ugavi (PSPTB) kwa kuandaa mafunzo ya siku tatu kwa wafanyakazi wa Mamlaka hiyo kuhusu  mabadiliko ya Sheria ya Ununuzi wa Umma ya mwaka 2023 na kanuni zake za mwaka 2024 pamoja  na usimamizi wa mikataba ya Ununuzi…

Read More

ELIMU YA FEDHA YAFIKA MKOA WA KAGERA

  Mkuu wa Wilaya ya Bukoba Mhe. Erasto Sima, akipokea vipeperushi vilivyo na taarifa mbalimbali za elimu ya fedha ikiwemo uwekaji akiba, uwekezaji, kupanga kwa ajili ya uzeeni, usimamizi binafsi wa fedha na mikopo kutoka kwa Afisa Usimamizi wa Fedha Idara ya Uendelezaji Sekta ya Fedha Wizara ya Fedha, Bw. Stanley Kibakaya, baada ya kumalizika…

Read More