Chozi la DC akidai kupewa tuhuma uvunjifu maadili

Dodoma. Mkuu wa Wilaya ya Tanganyika, Onesmo Buswelu amelia mbele ya Baraza la Maadili ya Viongozi wa Umma, akidai amebambikiwa tuhuma za uvunjifu wa maadili baada ya kuwabana watumishi kwa ubadhirifu.  Buswelu alifika mbele ya baraza hilo leo Juni 4, 2024, akituhumiwa kutoa lugha ya matusi au chafu, kuwaweka ndani watumishi wa halmashauri na fundi…

Read More

Mpango wa usitishaji vita na hatma ya kisiasa ya Netanyahu – DW – 04.06.2024

Hayo yanajiri wakati upinzani ndani ya serikali yake ya mseto ukimaanisha kuwa huenda nafasi yake kisiasa ipo mashakani.Washirika wa Netanyahu wanaofuata siasa kali za mrengo wa kulia wametishia kujiondoa katika serikali baada ya Rais wa Marekani Joe Biden kuwasilisha pendekezo la mpango wa kusitisha vita. Hali hii inamfanya Netanyahu kuvitegemea vyama vinavyofuata siasa za wastani…

Read More

TBS yatoa neno kuelekea Siku ya Chakula salama Duniani

NA EMMANUEL MBATILO, MICHUZI TV Katika kuelekea Maadhimisho ya Siku ya Chakula Salama Duniani, Shirika la Viwango Tanzania (TBS), limewataka wananchi kuhakikisha chakula kinakuwa salama kabla ya matumizi ili kuweza kulinda afya zao. Kauli mbiu ya Maadhimisho hayo ambayo yanatarajiwa kufanyika Juni 7,2024 inasema” Chakula Salama Jiandae kwa Usiyoyatarajia” iliyobeba dhima kubwa yenye lengo la…

Read More