Leo ndio leo mastaa wote Yanga kufahamika 

YANGA imetoa taarifa mpya juu ya kambi  ya maandalizi ya msimu mpya wa mashindano na kwamba sasa itaanza tena palepale ilipojiandaa kuchukua mataji nane ndani ya misimu mitatu ambapo mastaa wote wapya waliosajiliwa na wale walioongezewa mikataba watakuwa hadharani kuanzia keshokutwa Jumatatu. Taarifa mpya kutoka Yanga inasema kikosi hicho sasa kitarudi rasmi kambini kuanza mazoezi,…

Read More

Kocha Stellenbosch awahofia Mpanzu, Kibu

KOCHA wa Stellenbosch FC, Steve Barker, ameanza kuingiwa ubaridi kabla ya kuvaana na Simba katika mechi ya nusu fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika, akiwataja Kibu Denis na Elie Mpanzu kuwa ndio wanamtia tumbo. Mchezo wa kwanza wa nusu fainali hiyo utafanyika Aprili 20 jijini Dar es Salaam, ambapo Simba imekuwa ikitumia vizuri uwanja huo…

Read More

Mahitaji ya kiafya nchini Syria yanazidi kuwa mbaya huku kukiwa na hali ya msimu wa baridi – Masuala ya Ulimwenguni

Pia ilitaja ongezeko la magonjwa ya mfumo wa kupumua, yanayochangiwa na uhaba wa joto, kambi zilizojaa watu na miundombinu iliyoharibika. “Kuna ongezeko kubwa linaloendelea la magonjwa kama mafua (ILI) na maambukizo makali ya kupumua kwa papo hapo (SARI), tangu mwanzo wa msimu wa baridi na kuongezeka kwa ziara za hospitali na kuongezeka kwa wasiwasi wa…

Read More

Hapi apokelewa mkoani Singida – Millard Ayo

Katibu mkuu wa jumuiya ya wazazi CCM Taifa Ally Hapi leo tarehe 09/05/2024 amewasili mkoani singida kwa ziara ya siku tatu akitokea mkoani Dodoma ambapo amepokelewa na viongozi wa chama,jumuiya na serikali katika kijiji cha Lusilile kata ya Kintinku halmashauri ya wilaya ya Manyoni ambapo baada ya kuwasili amepokea taarifa kutoka kwa viongozi mbalimbali wa…

Read More