TANZANIA KINARA AFRIKA USAMBAZAJI UMEME KWA WANANCHI

-Tanzania na Benki ya Dunia kushirikiana katika miradi ya nishati -Tanzania yapongezwa kufanya vizuri usambazi wa umeme kwa wananchi Na Ofisi ya Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Benki ya Dunia imeipongeza Tanzania kwa kuwa miongoni mwa nchi zinazoongoza kwa kusambazaji umeme kwa wananchi wake. Akitoa pongezi hizo leo Juni 4, 2024 jijini Dodoma,Mkurugenzi…

Read More

Bocco misimu 16 ya kibabe, rekodi zampa heshima

ALIYEKUWA mshambuliaji na nahodha wa Simba, John Raphael Bocco ‘Adebayor’, ametangaza rasmi kustaafu soka la ushindani baada ya kucheza kwa misimu 16 mfululizo huku akijitengenezea umaarufu mkubwa kuanzia ngazi ya klabu na timu ya Taifa. Bocco amestaafu kucheza soka lakini wakati huo tayari ni kocha wa timu ya vijana ya Simba anayoendelea kuinoa na inaelezwa…

Read More

Auawa akidaiwa kujaribu kuwatoroka Polisi

Songea.  Francis Ngonyani, mkazi wa Songea, mkoani Ruvuma amefariki dunia baada ya kupigwa risasi mguuni na Polisi akidaiwa kujaribu kuwatoroka. Tukio hilo limetokea usiku wa kuamkia leo Jumanne Juni 4, 2024 eneo la Lizabon, Songea mjini. Ngonyani anatuhumiwa kuwa kinara wa kuvunja maduka ya wafanyabiashara wa Songea mjini na kuiba vitu mbalimbali, vikiwamo vifaa vya…

Read More

LETSHEGO LISTS ITS FIRST SOCIAL BOND ON NAMIBIAN STOCK EXCHANGE

Gaborone. Letshego Holdings Namibia Limited (“Letshego Namibia” / “LHN”), a subsidiary of the pan African inclusive finance entity that has a presence in 11 Africa markets, is further demonstrating its social impact strategy through the listing of the Africa Group’s first social bond on the Namibian Stock Exchange (“NSX”).  The Group’s inaugural social listing received…

Read More

Waziri Junior mguu mmoja Ihefu

Kama mambo yakienda  sawa, mshambuliaji aliyemaliza mkataba wake KMC, Waziri Junior anaweza akasaini Ihefu muda wowote, baada ya kurejea kutoka katika majukumu ya Taifa Stars. Mmoja wa kiongozi wa Ihefu, alisema kila kitu kuhusu Junior kinakwenda vizuri, walikuwa wanamsubiri arejee kutoka katika majukumu ya Taifa Stars, ambayo ilikwenda nchini Indonesia. “Kabla ya kuitwa timu ya…

Read More

TANZANIA, INDONESIA KUSHIRIKIANA SEKTA YA UTALII

      Na Happiness Shayo Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Jamhuri ya Indonesia zinajipanga kushirikiana katika masuala ya utangazaji utalii, kubadilishana uzoefu katika masuala ya utalii na ukarimu, tafiti za utalii na kupanua wigo wa mazao ya utalii lengo ikiwa ni kukuza utalii wa nchi zote mbili. Hayo yamejiri katika kikao…

Read More

Sintofahamu mkataba wa Matampi Coastal

KIPA mye ‘clean sheet’ nyingi Ligi Kuu Tanzania Bara, Ley Matampi amezua utata juu ya mkataba wake na waajiri wake Coastal Union baada ya pande hizo mbili kutofautiana juu ya urefu wa mkataba huo. Ipo hivi; Coastal Union, imechimba mkwara kwamba kama kuna klabu inamtaka kipa wao huyo basi waifuate mezani ili wajadiliane kuwauzia kwani…

Read More